johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,968
- 141,977
Makamu wa Rais mama Samia Suluhu kesho ataanza ziara ya siku sita mkoani Tanga
Mkuu wa mkoa wa Tanga mh Shigekla amesema akiwa mkoani Tanga mama Samia atazindua miradi mbalimbali na programu za uwekezaji kwa wawekezaji wote.
Maendeleo hayana vyama!
===
Makamu wa Rais, Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuanza ziara yake ya siku sita mkoani Tanga kwanzia kesho, Jumatatu Machi 15 huku miongoni mwa mambo anayotarajiwa kuyafanya ni pamoja na kutembelea miradi mbalimbali ya maendeleo sambamba na kuendesha mkutano mkubwa wa wawekezaji na wafanyabiashara kutoka ndani na nje ya nchi kwa lengo la kutangaza fursa zinazopatikana mkoa humo.
Mkuu wa mkoa wa Tanga mh Shigekla amesema akiwa mkoani Tanga mama Samia atazindua miradi mbalimbali na programu za uwekezaji kwa wawekezaji wote.
Mkuu wa mkoa wa Tanga mh Shigekla amesema akiwa mkoani Tanga mama Samia atazindua miradi mbalimbali na programu za uwekezaji kwa wawekezaji wote.
Maendeleo hayana vyama!
===
Makamu wa Rais, Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuanza ziara yake ya siku sita mkoani Tanga kwanzia kesho, Jumatatu Machi 15 huku miongoni mwa mambo anayotarajiwa kuyafanya ni pamoja na kutembelea miradi mbalimbali ya maendeleo sambamba na kuendesha mkutano mkubwa wa wawekezaji na wafanyabiashara kutoka ndani na nje ya nchi kwa lengo la kutangaza fursa zinazopatikana mkoa humo.
Mkuu wa mkoa wa Tanga mh Shigekla amesema akiwa mkoani Tanga mama Samia atazindua miradi mbalimbali na programu za uwekezaji kwa wawekezaji wote.