Makamu wa Rais Dkt. Nchimbi akishiriki Mkutano wa Dharura wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Nchi Jumuiya za Ukanda wa Maziwa Makuu na Nchi Wanachama

Habari za Zanzibar

JF-Expert Member
Joined
Dec 18, 2024
Posts
260
Reaction score
199
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi akishiriki Mkutano wa Dharura wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Nchi Jumuiya za Ukanda wa Maziwa Makuu na Nchi Wanachama wa Mkataba wa Amani, Usalama na Ushirikiano kwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na eneo la Maziwa Makuu, uliyofanyika Ikulu ya Entebbe nchini Uganda tarehe 21 Desemba 2025.
Your browser is not able to display this video.
 
Rais Yoweri Kaguta Museveni alichukua nafasi ya photo opportunity kumuuliza maswali mengi Dr. Emmanuel Nchimbi wakati wakiwa ktk hatua ya kupiga picha ya ukumbusho na kumuuliza maswali mengi binafsi. Kama inavyosikika ktk clip hii kuanzia dakika ya 10 ktk hii clipu

21 December 2025
Kampala, Uganda

DR. Emmanuel John Nchimbi akiendelea kumuakilisha Samia nje ya nchi na katika video hii Museveni alimuuliza maswali kibao Nchimbi..

View: https://m.youtube.com/watch?v=E6d5RpULJxs
Rwanda & DR. Congo Trade Counter Accusation at Kampala Summit as M23 Resumes Fighting
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…