Safi Sana mama kwa mipango mizuri,Tuesday, September 28, 2021
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan Amekutana na Kuzungumza na Makamu wa Rais wa Benki ya Dunia Ikulu Chwamwino.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akizungumza na Ujumbe kutoka Benki ya Dunia ulioongozwa na Makamu wa Rais wa Benki hiyo Dkt. Hafez Ghanem Ikulu Chamwino Jijji Dodoma.
View attachment 1956696
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akizungumza na Ujumbe kutoka Benki ya Dunia ulioongozwa na Makamu wa Rais wa Benki hiyo Dkt. Hafez Ghanem Ikulu Chamwino Jijji Dodoma leo
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akizungumza na Makamu wa Rais wa Benki ya Dunia Dkt. Hafez Ghanem Ikulu Chamwino Jijini Dodoma
PICHA NA IKULU.
HOTUBA YA RAIS SAMIA UMOJA WA MATAIFA NI MIONGONI MWAHOTUBA BORA 7 MKUTANO WA 76Atue kwani amekua ndege aina ya kware au mbayuwayu
Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
mambo tayari💪🏿💪🏿💪🏿Tuesday, September 28, 2021
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan Amekutana na Kuzungumza na Makamu wa Rais wa Benki ya Dunia Ikulu Chwamwino.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akizungumza na Ujumbe kutoka Benki ya Dunia ulioongozwa na Makamu wa Rais wa Benki hiyo Dkt. Hafez Ghanem Ikulu Chamwino Jijji Dodoma.
View attachment 1956696
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akizungumza na Ujumbe kutoka Benki ya Dunia ulioongozwa na Makamu wa Rais wa Benki hiyo Dkt. Hafez Ghanem Ikulu Chamwino Jijji Dodoma leo
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akizungumza na Makamu wa Rais wa Benki ya Dunia Dkt. Hafez Ghanem Ikulu Chamwino Jijini Dodoma
PICHA NA IKULU.
Deal doneMam
mambo tayari💪🏿💪🏿💪🏿
Rais Mpenda watu,Masaa machache baada ya Rais Samia kuhutubia UN Gen Assembly huko New York Marekani na kurejea nchini || Sasa rasmi Makamu wa Rais benki ya dunia kutua Tanzania 27|28|09|2021.
____________________________________________
Makamu wa Rais wa benki ya dunia anayeshughulikia Ukanda huu wa Mashariki na kusini Mr Hafez Ghanem anatarajiwa kufanya ziara ya siku mbili nchi Tanzania yaani trh 27|28|2021 ikiwa ni matoke ya Rais Samia kusafiri nje ( Mtembea bure si sawa na mkaa bure) ,
Mr Hafez Ghanem ambae ni raia wa Misri|Ufaransa ni mtu mwenye uzoefu sana kuhusu miradi ya maendeleo kwa zaidi ya miaka 30,anasimamia nchi za kusini na Mashariki 26 zenye jumla ya miradi 280 yenye thamani ya $49BL karibu Tshs 112.7trilioni ikiwemo miradi yetu 21 yenye thamani ya $4.8BL sawa na Tshs 11.04trillion,
Ziara ya Hafez Ghanem inafuatia kikao cha Rais wetu Samia Suluhu Hassan na Rais wa benki ya dunia Mr David Malpass trh 21|09|2021,Hapa Wale mliokuwa mnalalamika Mhe Rais kawahi Sana kwenda New York fuatilieni vizuri ziara ya Mr Hafez Ghanem mtaelewa kwanini aliwahi,
Mhe Rais Samia Suluhu Hassan pamoja na Rais huyo wa Bank ya dunia walijadili juu ya juhudi zinazofanywa na Tanzani katika kukabiliana na madhara yatokanayo na janga la Covid -19 pamoja na kuongeza juhudi ya utoaji chanjo lakini pia kuzijengea uwezo sekta binafsi baada ya huu mdororo wa Uchumi chanzo kikiwa ni Corona,
Chanzo hiki kinaonesha Benki ya dunia imeonesha nia ya kuisaidia Tanzania kwenye ununuzi,usafirishaji na usambazaji wa chanjo ya Covid -19 kupitia Shirika lake tanzu la fedha la International Developed Assistance ( IDA) ikiwa ni pamoja na kuboresha mazingira ya biashara ili kuzisaidia sekta binafsi katika kujijenga Upya,
Kwamsiojua, Banki ya dunia inafadhili miradi kama Usafirishaji, Makazi, Elimu, Nishati, Maji,Uhifadhi wa kijinsia, mazingira, mali asili, maendeleo ya teknolojia pamoja na Utawala,
Kwa msiofahamu banki ya dunia iligoma kutupa misaada na mikopo kwa kipindi flani kiasi ambacho ilitulazimu tuanze kukopa mikopo yenye masharti ya kibiashara ambayo ni hatari zaidi kwa Ustawi wa Uchumi wa nchi yetu hasa mikopo toka China,Wote mnajua,Leo hii Wachina wako mbioni kuichukua bandari ya Mombasa ya Kenya kisa marejesho ya Mikopo yenye masharti ya kibiashara,
Riba na muda wa marejesho kwa mkopo wa World Bank ni nafuu sana, Mfano IDA shirika tanzu la World Bank wao riba yao ni 1.56% tu na muda wa marejesho ni hadi miaka 38,hii ni sawa na kusema World Bank wakikupa mkopo leo wa Tshs 100,000 utalazimika kuwalipa|kurejesha jumla ya Tshs 102,000 sawa na riba ya Tshs 2,000 tu kwa miaka 38,Kwa lugha rahisi World Bank ni sawa na kusema hawana riba ila wanakupa pesa ujenge miradi then uirudishe pesa yao, seriously am speechless vile Rais Samia anaupiga mwingi kwa Usahihi mkubwa huu,
Tukubaliane tu,kwa mwendo huu wa connections za Rais Samia kidunia mpaka kufikia 2030 Uchumi wa nchi hii utakuwa ni wakupigiwa mfano duniani,Tumuunge mkono Rais wetu kwa kufanya kazi kwa bidii.
.........Kazi iendelee .........
VIVA TANZANIA VIVA || VIVA SAMIA VIVA [/B]
View attachment 1953360
😍😍😍Mam
mambo tayari💪🏿💪🏿💪🏿
😍😍😍Rais Mpenda watu,
Rais Mpole
Rais Msikivu
Rais mnyenyekevu
Rais mwenye hofu ya Mungu
Share zaidi
😍😍😍Wanatuhitaji zaidi ya tunavyowahitaji…
Akili za kitumwa hiziKUMEKUCHAA!!
Rais Samia nilisema na ninasema tena na tena huyu Mama ni habari nyingine,
Kukutana na Rais wa World Bank ni zaidi ya kuhutubia UNGA,
Mliokuwa mnalalamika kaenda mapema sasa muone aibu kwa kuchongoa midomo bila kujua nia ya Rais,
Marekani inaongoza kwa deni kubwa duniani ila kwakuwa inakopa taasisi salama ndio maana iko salama,
HAKIKA HAKUNA KAMA SAMIA
_______________________________
Pamoja na maelezo mazuri, hesabu kichwani hakuna, darasani ulikuwa kiongozi wa vilaza. Riba hulipwa au kupigiwa hesabu kwa mwaka mmoja.Masaa machache baada ya Rais Samia kuhutubia UN Gen Assembly huko New York Marekani na kurejea nchini || Sasa rasmi Makamu wa Rais benki ya dunia kutua Tanzania 27|28|09|2021.
____________________________________________
Makamu wa Rais wa benki ya dunia anayeshughulikia Ukanda huu wa Mashariki na kusini Mr Hafez Ghanem anatarajiwa kufanya ziara ya siku mbili nchi Tanzania yaani trh 27|28|2021 ikiwa ni matoke ya Rais Samia kusafiri nje ( Mtembea bure si sawa na mkaa bure) ,
Mr Hafez Ghanem ambae ni raia wa Misri|Ufaransa ni mtu mwenye uzoefu sana kuhusu miradi ya maendeleo kwa zaidi ya miaka 30,anasimamia nchi za kusini na Mashariki 26 zenye jumla ya miradi 280 yenye thamani ya $49BL karibu Tshs 112.7trilioni ikiwemo miradi yetu 21 yenye thamani ya $4.8BL sawa na Tshs 11.04trillion,
Ziara ya Hafez Ghanem inafuatia kikao cha Rais wetu Samia Suluhu Hassan na Rais wa benki ya dunia Mr David Malpass trh 21|09|2021,Hapa Wale mliokuwa mnalalamika Mhe Rais kawahi Sana kwenda New York fuatilieni vizuri ziara ya Mr Hafez Ghanem mtaelewa kwanini aliwahi,
Mhe Rais Samia Suluhu Hassan pamoja na Rais huyo wa Bank ya dunia walijadili juu ya juhudi zinazofanywa na Tanzani katika kukabiliana na madhara yatokanayo na janga la Covid -19 pamoja na kuongeza juhudi ya utoaji chanjo lakini pia kuzijengea uwezo sekta binafsi baada ya huu mdororo wa Uchumi chanzo kikiwa ni Corona,
Chanzo hiki kinaonesha Benki ya dunia imeonesha nia ya kuisaidia Tanzania kwenye ununuzi,usafirishaji na usambazaji wa chanjo ya Covid -19 kupitia Shirika lake tanzu la fedha la International Developed Assistance ( IDA) ikiwa ni pamoja na kuboresha mazingira ya biashara ili kuzisaidia sekta binafsi katika kujijenga Upya,
Kwamsiojua, Banki ya dunia inafadhili miradi kama Usafirishaji, Makazi, Elimu, Nishati, Maji,Uhifadhi wa kijinsia, mazingira, mali asili, maendeleo ya teknolojia pamoja na Utawala,
Kwa msiofahamu banki ya dunia iligoma kutupa misaada na mikopo kwa kipindi flani kiasi ambacho ilitulazimu tuanze kukopa mikopo yenye masharti ya kibiashara ambayo ni hatari zaidi kwa Ustawi wa Uchumi wa nchi yetu hasa mikopo toka China,Wote mnajua,Leo hii Wachina wako mbioni kuichukua bandari ya Mombasa ya Kenya kisa marejesho ya Mikopo yenye masharti ya kibiashara,
Riba na muda wa marejesho kwa mkopo wa World Bank ni nafuu sana, Mfano IDA shirika tanzu la World Bank wao riba yao ni 1.56% tu na muda wa marejesho ni hadi miaka 38,hii ni sawa na kusema World Bank wakikupa mkopo leo wa Tshs 100,000 utalazimika kuwalipa|kurejesha jumla ya Tshs 102,000 sawa na riba ya Tshs 2,000 tu kwa miaka 38,Kwa lugha rahisi World Bank ni sawa na kusema hawana riba ila wanakupa pesa ujenge miradi then uirudishe pesa yao, seriously am speechless vile Rais Samia anaupiga mwingi kwa Usahihi mkubwa huu,
Tukubaliane tu,kwa mwendo huu wa connections za Rais Samia kidunia mpaka kufikia 2030 Uchumi wa nchi hii utakuwa ni wakupigiwa mfano duniani,Tumuunge mkono Rais wetu kwa kufanya kazi kwa bidii.
.........Kazi iendelee .........
VIVA TANZANIA VIVA || VIVA SAMIA VIVA [/B]
View attachment 1953360
Pamoja na maelezo mazuri, hesabu kichwani hakuna, darasani ulikuwa kiongozi wa vilaza. Riba hulipwa au kupigiwa hesabu kwa mwaka mmoja.
Wewe ni mzalendo KwelikweliSijui mwendazake na genge lake,badala ya kusapoti sekta zilizoathirika uchumi usianguke yeye anahangaika na kusema sijui Mungu sijui malaika mara nyingu mambo ya kijinga.
Nilisoma andiko fulani inaonesha robo ya mwisho ya 2020 na robo ya kwanza uchumi ulikuwa kwa 1% tuu huku Jiwe akidanganya watu eti unakua kwa 7% ,ndio chanzo hasa cha kuanza kupora pesa za watu..
Saizi mama anahangaika kiasi kwamba wanasema import bill inakua kubwa kwa sababu ya bei za mafuta duniani kuwa kubwa na weak export ya uchumi wetu kwamba gold exports haiwezi kufidia gap..
Mbaya zaidi unaambiwa zaidi ya bil.500 zinatumika kuagiza mafuta ya kula nje bado sukari ,bado mbolea nk ..
Tuombe tuu wawekezaji walioanza kuingia wasaidie ,hope by 2022 labda ndio uchumi utaanza kuonesha dalili za improvement.Ila utalii utaendelea kuanguka kama juhudi za chanjo hazitafanikiwa maana nchi imewekwa kwenye red line na chanjo hatutaki kwa sababu za propaganda za Jiwe na wapuuzi wenzie.
Viva Samia VivaClick to expand...
Tuesday, September 28, 2021
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan Amekutana na Kuzungumza na Makamu wa Rais wa Benki ya Dunia Ikulu Chwamwino.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akizungumza na Ujumbe kutoka Benki ya Dunia ulioongozwa na Makamu wa Rais wa Benki hiyo Dkt. Hafez Ghanem Ikulu Chamwino Jijji Dodoma.
View attachment 1956696
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akizungumza na Ujumbe kutoka Benki ya Dunia ulioongozwa na Makamu wa Rais wa Benki hiyo Dkt. Hafez Ghanem Ikulu Chamwino Jijji Dodoma leo
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akizungumza na Makamu wa Rais wa Benki ya Dunia Dkt. Hafez Ghanem Ikulu Chamwino Jijini Dodoma
PICHA NA IKULU.
Unajua Rais Samia amejenga madarasa elfu 18?Masaa machache baada ya Rais Samia kuhutubia UN Gen Assembly huko New York Marekani na kurejea nchini || Sasa rasmi Makamu wa Rais benki ya dunia kutua Tanzania 27|28|09|2021.
____________________________________________
Makamu wa Rais wa benki ya dunia anayeshughulikia Ukanda huu wa Mashariki na kusini Mr Hafez Ghanem anatarajiwa kufanya ziara ya siku mbili nchi Tanzania yaani trh 27|28|2021 ikiwa ni matoke ya Rais Samia kusafiri nje ( Mtembea bure si sawa na mkaa bure) ,
Mr Hafez Ghanem ambae ni raia wa Misri|Ufaransa ni mtu mwenye uzoefu sana kuhusu miradi ya maendeleo kwa zaidi ya miaka 30,anasimamia nchi za kusini na Mashariki 26 zenye jumla ya miradi 280 yenye thamani ya $49BL karibu Tshs 112.7trilioni ikiwemo miradi yetu 21 yenye thamani ya $4.8BL sawa na Tshs 11.04trillion,
Ziara ya Hafez Ghanem inafuatia kikao cha Rais wetu Samia Suluhu Hassan na Rais wa benki ya dunia Mr David Malpass trh 21|09|2021,Hapa Wale mliokuwa mnalalamika Mhe Rais kawahi Sana kwenda New York fuatilieni vizuri ziara ya Mr Hafez Ghanem mtaelewa kwanini aliwahi,
Mhe Rais Samia Suluhu Hassan pamoja na Rais huyo wa Bank ya dunia walijadili juu ya juhudi zinazofanywa na Tanzani katika kukabiliana na madhara yatokanayo na janga la Covid -19 pamoja na kuongeza juhudi ya utoaji chanjo lakini pia kuzijengea uwezo sekta binafsi baada ya huu mdororo wa Uchumi chanzo kikiwa ni Corona,
Chanzo hiki kinaonesha Benki ya dunia imeonesha nia ya kuisaidia Tanzania kwenye ununuzi,usafirishaji na usambazaji wa chanjo ya Covid -19 kupitia Shirika lake tanzu la fedha la International Developed Assistance ( IDA) ikiwa ni pamoja na kuboresha mazingira ya biashara ili kuzisaidia sekta binafsi katika kujijenga Upya,
Kwamsiojua, Banki ya dunia inafadhili miradi kama Usafirishaji, Makazi, Elimu, Nishati, Maji,Uhifadhi wa kijinsia, mazingira, mali asili, maendeleo ya teknolojia pamoja na Utawala,
Kwa msiofahamu banki ya dunia iligoma kutupa misaada na mikopo kwa kipindi flani kiasi ambacho ilitulazimu tuanze kukopa mikopo yenye masharti ya kibiashara ambayo ni hatari zaidi kwa Ustawi wa Uchumi wa nchi yetu hasa mikopo toka China,Wote mnajua,Leo hii Wachina wako mbioni kuichukua bandari ya Mombasa ya Kenya kisa marejesho ya Mikopo yenye masharti ya kibiashara,
Riba na muda wa marejesho kwa mkopo wa World Bank ni nafuu sana, Mfano IDA shirika tanzu la World Bank wao riba yao ni 1.56% tu na muda wa marejesho ni hadi miaka 38,hii ni sawa na kusema World Bank wakikupa mkopo leo wa Tshs 100,000 utalazimika kuwalipa|kurejesha jumla ya Tshs 102,000 sawa na riba ya Tshs 2,000 tu kwa miaka 38,Kwa lugha rahisi World Bank ni sawa na kusema hawana riba ila wanakupa pesa ujenge miradi then uirudishe pesa yao, seriously am speechless vile Rais Samia anaupiga mwingi kwa Usahihi mkubwa huu,
Tukubaliane tu,kwa mwendo huu wa connections za Rais Samia kidunia mpaka kufikia 2030 Uchumi wa nchi hii utakuwa ni wakupigiwa mfano duniani,Tumuunge mkono Rais wetu kwa kufanya kazi kwa bidii.
.........Kazi iendelee .........
VIVA TANZANIA VIVA || VIVA SAMIA VIVA [/B]
View attachment 1953360
Masaa machache baada ya Rais Samia kuhutubia UN Gen Assembly huko New York Marekani na kurejea nchini || Sasa rasmi Makamu wa Rais benki ya dunia kutua Tanzania 27|28|09|2021.
____________________________________________
Makamu wa Rais wa benki ya dunia anayeshughulikia Ukanda huu wa Mashariki na kusini Mr Hafez Ghanem anatarajiwa kufanya ziara ya siku mbili nchi Tanzania yaani trh 27|28|2021 ikiwa ni matoke ya Rais Samia kusafiri nje ( Mtembea bure si sawa na mkaa bure) ,
Mr Hafez Ghanem ambae ni raia wa Misri|Ufaransa ni mtu mwenye uzoefu sana kuhusu miradi ya maendeleo kwa zaidi ya miaka 30,anasimamia nchi za kusini na Mashariki 26 zenye jumla ya miradi 280 yenye thamani ya $49BL karibu Tshs 112.7trilioni ikiwemo miradi yetu 21 yenye thamani ya $4.8BL sawa na Tshs 11.04trillion,
Ziara ya Hafez Ghanem inafuatia kikao cha Rais wetu Samia Suluhu Hassan na Rais wa benki ya dunia Mr David Malpass trh 21|09|2021,Hapa Wale mliokuwa mnalalamika Mhe Rais kawahi Sana kwenda New York fuatilieni vizuri ziara ya Mr Hafez Ghanem mtaelewa kwanini aliwahi,
Mhe Rais Samia Suluhu Hassan pamoja na Rais huyo wa Bank ya dunia walijadili juu ya juhudi zinazofanywa na Tanzani katika kukabiliana na madhara yatokanayo na janga la Covid -19 pamoja na kuongeza juhudi ya utoaji chanjo lakini pia kuzijengea uwezo sekta binafsi baada ya huu mdororo wa Uchumi chanzo kikiwa ni Corona,
Chanzo hiki kinaonesha Benki ya dunia imeonesha nia ya kuisaidia Tanzania kwenye ununuzi,usafirishaji na usambazaji wa chanjo ya Covid -19 kupitia Shirika lake tanzu la fedha la International Developed Assistance ( IDA) ikiwa ni pamoja na kuboresha mazingira ya biashara ili kuzisaidia sekta binafsi katika kujijenga Upya,
Kwamsiojua, Banki ya dunia inafadhili miradi kama Usafirishaji, Makazi, Elimu, Nishati, Maji,Uhifadhi wa kijinsia, mazingira, mali asili, maendeleo ya teknolojia pamoja na Utawala,
Kwa msiofahamu banki ya dunia iligoma kutupa misaada na mikopo kwa kipindi flani kiasi ambacho ilitulazimu tuanze kukopa mikopo yenye masharti ya kibiashara ambayo ni hatari zaidi kwa Ustawi wa Uchumi wa nchi yetu hasa mikopo toka China,Wote mnajua,Leo hii Wachina wako mbioni kuichukua bandari ya Mombasa ya Kenya kisa marejesho ya Mikopo yenye masharti ya kibiashara,
Riba na muda wa marejesho kwa mkopo wa World Bank ni nafuu sana, Mfano IDA shirika tanzu la World Bank wao riba yao ni 1.56% tu na muda wa marejesho ni hadi miaka 38,hii ni sawa na kusema World Bank wakikupa mkopo leo wa Tshs 100,000 utalazimika kuwalipa|kurejesha jumla ya Tshs 102,000 sawa na riba ya Tshs 2,000 tu kwa miaka 38,Kwa lugha rahisi World Bank ni sawa na kusema hawana riba ila wanakupa pesa ujenge miradi then uirudishe pesa yao, seriously am speechless vile Rais Samia anaupiga mwingi kwa Usahihi mkubwa huu,
Tukubaliane tu,kwa mwendo huu wa connections za Rais Samia kidunia mpaka kufikia 2030 Uchumi wa nchi hii utakuwa ni wakupigiwa mfano duniani,Tumuunge mkono Rais wetu kwa kufanya kazi kwa bidii.
.........Kazi iendelee .........
VIVA TANZANIA VIVA || VIVA SAMIA VIVA [/B]
View attachment 1953360
Rais Samia atoa wastani wa madarasa manne na madawati 120 katika kila shule ya Sekondari ya Serikali nchi nzima | Hakika awamu ya Sita Tanzania lazima iwe Tanzania.
" Hakuna kama Samaia "
Baada ya janga la Covid-19 kuvuruga Uchumi wa dunia na sisi tukiwemo, Shirika la fedha duniani ( IMF) pamoja na benki ya dunia ( WB) wameanza kuzisaidia nchi mbalimbali duniani ikiwemo Tanzania mikopo yenye masharti nafuu ili pesa hizo zitumike kama Economic Stimulus & Relief Fund na hapa muelewe vizuri Tanzania tunapokea mikopo na misaada ila "HATUITEGEMEI " ndio maana hata kwenye bajeti yetu hii ya FY2021|22 katia ya Tshs 36.33trl zilizotengwa pesa zetu ni 91.9% huku misaada na mikopo ikiwa ni 8.1% tu,
IMF tayari imeisaidia Tanzania mkopo wenye masharti nafuu kiasi cha Tshs 1.3trl kwaajili ya kusisimua Uchumi wake uliodorora kwasababu ya covod-19 kwani niukweli usiopingika Tanzania tumeumizwa zaidi kwenye Sekta za Utalii,biashara na Usafirishaji,
Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutumia pesa hizo na baada ya kutoa madarasa ya kisasa elfu 15 sawa na wastani wa madarasa manne kwenye kila shule ya Sekondari ya Serikali nchi nzima huku kipaumbele kikiwa ni shule zenye upungufu wa madarasa lakini furaha iliyoje Rais wetu ametoa tena jumla ya madawati 462,795 ambayo ni sawa na Wastani wa madawati 120 kwenye kila Shule ya Sekondari nchi nzima ambazo jumla ya shule hizo ni 3,863.
Sababu za Rais Samia Suluhu Hassan kutoa madarasa mapya manne ya kisasa na madawati mapya 120 katika kila shule ya Sekondari ya Serikali nchi nzima ni kuhakikisha wazazi wa watoto watakaojiunga na kidato cha kwanza mwakani katika mwaka wa masomo 2021|2025 hawalipi hata Shilingia mia moja kwani Rais wetu mnyenyekevu ameshalipa pia ada za watoto wote 1M wanaotakiwa kuanza shule siku moja nchi nzima yaani trh 06|01|2022,hii haijawahi kutokea katika historia ya nchi yetu,
VIVA SAMIA VIVA || VIVA TANZANIA VIVA
View attachment 1971181
14|10|2021Masaa machache baada ya Rais Samia kuhutubia UN Gen Assembly huko New York Marekani na kurejea nchini || Sasa rasmi Makamu wa Rais benki ya dunia kutua Tanzania 27|28|09|2021.
____________________________________________
Makamu wa Rais wa benki ya dunia anayeshughulikia Ukanda huu wa Mashariki na kusini Mr Hafez Ghanem anatarajiwa kufanya ziara ya siku mbili nchi Tanzania yaani trh 27|28|2021 ikiwa ni matoke ya Rais Samia kusafiri nje ( Mtembea bure si sawa na mkaa bure) ,
Mr Hafez Ghanem ambae ni raia wa Misri|Ufaransa ni mtu mwenye uzoefu sana kuhusu miradi ya maendeleo kwa zaidi ya miaka 30,anasimamia nchi za kusini na Mashariki 26 zenye jumla ya miradi 280 yenye thamani ya $49BL karibu Tshs 112.7trilioni ikiwemo miradi yetu 21 yenye thamani ya $4.8BL sawa na Tshs 11.04trillion,
Ziara ya Hafez Ghanem inafuatia kikao cha Rais wetu Samia Suluhu Hassan na Rais wa benki ya dunia Mr David Malpass trh 21|09|2021,Hapa Wale mliokuwa mnalalamika Mhe Rais kawahi Sana kwenda New York fuatilieni vizuri ziara ya Mr Hafez Ghanem mtaelewa kwanini aliwahi,
Mhe Rais Samia Suluhu Hassan pamoja na Rais huyo wa Bank ya dunia walijadili juu ya juhudi zinazofanywa na Tanzani katika kukabiliana na madhara yatokanayo na janga la Covid -19 pamoja na kuongeza juhudi ya utoaji chanjo lakini pia kuzijengea uwezo sekta binafsi baada ya huu mdororo wa Uchumi chanzo kikiwa ni Corona,
Chanzo hiki kinaonesha Benki ya dunia imeonesha nia ya kuisaidia Tanzania kwenye ununuzi,usafirishaji na usambazaji wa chanjo ya Covid -19 kupitia Shirika lake tanzu la fedha la International Developed Assistance ( IDA) ikiwa ni pamoja na kuboresha mazingira ya biashara ili kuzisaidia sekta binafsi katika kujijenga Upya,
Kwamsiojua, Banki ya dunia inafadhili miradi kama Usafirishaji, Makazi, Elimu, Nishati, Maji,Uhifadhi wa kijinsia, mazingira, mali asili, maendeleo ya teknolojia pamoja na Utawala,
Kwa msiofahamu banki ya dunia iligoma kutupa misaada na mikopo kwa kipindi flani kiasi ambacho ilitulazimu tuanze kukopa mikopo yenye masharti ya kibiashara ambayo ni hatari zaidi kwa Ustawi wa Uchumi wa nchi yetu hasa mikopo toka China,Wote mnajua,Leo hii Wachina wako mbioni kuichukua bandari ya Mombasa ya Kenya kisa marejesho ya Mikopo yenye masharti ya kibiashara,
Riba na muda wa marejesho kwa mkopo wa World Bank ni nafuu sana, Mfano IDA shirika tanzu la World Bank wao riba yao ni 1.56% tu na muda wa marejesho ni hadi miaka 38,hii ni sawa na kusema World Bank wakikupa mkopo leo wa Tshs 100,000 utalazimika kuwalipa|kurejesha jumla ya Tshs 102,000 sawa na riba ya Tshs 2,000 tu kwa miaka 38,Kwa lugha rahisi World Bank ni sawa na kusema hawana riba ila wanakupa pesa ujenge miradi then uirudishe pesa yao, seriously am speechless vile Rais Samia anaupiga mwingi kwa Usahihi mkubwa huu,
Tukubaliane tu,kwa mwendo huu wa connections za Rais Samia kidunia mpaka kufikia 2030 Uchumi wa nchi hii utakuwa ni wakupigiwa mfano duniani,Tumuunge mkono Rais wetu kwa kufanya kazi kwa bidii.
.........Kazi iendelee .........
VIVA TANZANIA VIVA || VIVA SAMIA VIVA [/B]
View attachment 1953360