Jabali la Siasa
JF-Expert Member
- Jul 10, 2020
- 2,476
- 2,105
Masaa machache baada ya Rais Samia kuhutubia UN Gen Assembly huko New York Marekani na kurejea nchini || Sasa rasmi Makamu wa Rais benki ya dunia kutua Tanzania 27|28|09|2021.
____________________________________________
Makamu wa Rais wa benki ya dunia anayeshughulikia Ukanda huu wa Mashariki na kusini Mr Hafez Ghanem anatarajiwa kufanya ziara ya siku mbili nchi Tanzania yaani trh 27|28|2021 ikiwa ni matoke ya Rais Samia kusafiri nje ( Mtembea bure si sawa na mkaa bure) ,
Mr Hafez Ghanem ambae ni raia wa Misri|Ufaransa ni mtu mwenye uzoefu sana kuhusu miradi ya maendeleo kwa zaidi ya miaka 30,anasimamia nchi za kusini na Mashariki 26 zenye jumla ya miradi 280 yenye thamani ya $49BL karibu Tshs 112.7trilioni ikiwemo miradi yetu 21 yenye thamani ya $4.8BL sawa na Tshs 11.04trillion,
Ziara ya Hafez Ghanem inafuatia kikao cha Rais wetu Samia Suluhu Hassan na Rais wa benki ya dunia Mr David Malpass trh 21|09|2021,Hapa Wale mliokuwa mnalalamika Mhe Rais kawahi Sana kwenda New York fuatilieni vizuri ziara ya Mr Hafez Ghanem mtaelewa kwanini aliwahi,
Mhe Rais Samia Suluhu Hassan pamoja na Rais huyo wa Bank ya dunia walijadili juu ya juhudi zinazofanywa na Tanzani katika kukabiliana na madhara yatokanayo na janga la Covid -19 pamoja na kuongeza juhudi ya utoaji chanjo lakini pia kuzijengea uwezo sekta binafsi baada ya huu mdororo wa Uchumi chanzo kikiwa ni Corona,
Chanzo hiki kinaonesha Benki ya dunia imeonesha nia ya kuisaidia Tanzania kwenye ununuzi,usafirishaji na usambazaji wa chanjo ya Covid -19 kupitia Shirika lake tanzu la fedha la International Developed Assistance ( IDA) ikiwa ni pamoja na kuboresha mazingira ya biashara ili kuzisaidia sekta binafsi katika kujijenga Upya,
Kwamsiojua, Banki ya dunia inafadhili miradi kama Usafirishaji, Makazi, Elimu, Nishati, Maji,Uhifadhi wa kijinsia, mazingira, mali asili, maendeleo ya teknolojia pamoja na Utawala,
Kwa msiofahamu banki ya dunia iligoma kutupa misaada na mikopo kwa kipindi flani kiasi ambacho ilitulazimu tuanze kukopa mikopo yenye masharti ya kibiashara ambayo ni hatari zaidi kwa Ustawi wa Uchumi wa nchi yetu hasa mikopo toka China,Wote mnajua,Leo hii Wachina wako mbioni kuichukua bandari ya Mombasa ya Kenya kisa marejesho ya Mikopo yenye masharti ya kibiashara,
Riba na muda wa marejesho kwa mkopo wa World Bank ni nafuu sana, Mfano IDA shirika tanzu la World Bank wao riba yao ni 1.56% tu na muda wa marejesho ni hadi miaka 38,hii ni sawa na kusema World Bank wakikupa mkopo leo wa Tshs 100,000 utalazimika kuwalipa|kurejesha jumla ya Tshs 102,000 sawa na riba ya Tshs 2,000 tu kwa miaka 38,Kwa lugha rahisi World Bank ni sawa na kusema hawana riba ila wanakupa pesa ujenge miradi then uirudishe pesa yao, seriously am speechless vile Rais Samia anaupiga mwingi kwa Usahihi mkubwa huu,
Tukubaliane tu,kwa mwendo huu wa connections za Rais Samia kidunia mpaka kufikia 2030 Uchumi wa nchi hii utakuwa ni wakupigiwa mfano duniani,Tumuunge mkono Rais wetu kwa kufanya kazi kwa bidii.
.........Kazi iendelee .........
VIVA TANZANIA VIVA || VIVA SAMIA VIVA [/B]
____________________________________________
Makamu wa Rais wa benki ya dunia anayeshughulikia Ukanda huu wa Mashariki na kusini Mr Hafez Ghanem anatarajiwa kufanya ziara ya siku mbili nchi Tanzania yaani trh 27|28|2021 ikiwa ni matoke ya Rais Samia kusafiri nje ( Mtembea bure si sawa na mkaa bure) ,
Mr Hafez Ghanem ambae ni raia wa Misri|Ufaransa ni mtu mwenye uzoefu sana kuhusu miradi ya maendeleo kwa zaidi ya miaka 30,anasimamia nchi za kusini na Mashariki 26 zenye jumla ya miradi 280 yenye thamani ya $49BL karibu Tshs 112.7trilioni ikiwemo miradi yetu 21 yenye thamani ya $4.8BL sawa na Tshs 11.04trillion,
Ziara ya Hafez Ghanem inafuatia kikao cha Rais wetu Samia Suluhu Hassan na Rais wa benki ya dunia Mr David Malpass trh 21|09|2021,Hapa Wale mliokuwa mnalalamika Mhe Rais kawahi Sana kwenda New York fuatilieni vizuri ziara ya Mr Hafez Ghanem mtaelewa kwanini aliwahi,
Mhe Rais Samia Suluhu Hassan pamoja na Rais huyo wa Bank ya dunia walijadili juu ya juhudi zinazofanywa na Tanzani katika kukabiliana na madhara yatokanayo na janga la Covid -19 pamoja na kuongeza juhudi ya utoaji chanjo lakini pia kuzijengea uwezo sekta binafsi baada ya huu mdororo wa Uchumi chanzo kikiwa ni Corona,
Chanzo hiki kinaonesha Benki ya dunia imeonesha nia ya kuisaidia Tanzania kwenye ununuzi,usafirishaji na usambazaji wa chanjo ya Covid -19 kupitia Shirika lake tanzu la fedha la International Developed Assistance ( IDA) ikiwa ni pamoja na kuboresha mazingira ya biashara ili kuzisaidia sekta binafsi katika kujijenga Upya,
Kwamsiojua, Banki ya dunia inafadhili miradi kama Usafirishaji, Makazi, Elimu, Nishati, Maji,Uhifadhi wa kijinsia, mazingira, mali asili, maendeleo ya teknolojia pamoja na Utawala,
Kwa msiofahamu banki ya dunia iligoma kutupa misaada na mikopo kwa kipindi flani kiasi ambacho ilitulazimu tuanze kukopa mikopo yenye masharti ya kibiashara ambayo ni hatari zaidi kwa Ustawi wa Uchumi wa nchi yetu hasa mikopo toka China,Wote mnajua,Leo hii Wachina wako mbioni kuichukua bandari ya Mombasa ya Kenya kisa marejesho ya Mikopo yenye masharti ya kibiashara,
Riba na muda wa marejesho kwa mkopo wa World Bank ni nafuu sana, Mfano IDA shirika tanzu la World Bank wao riba yao ni 1.56% tu na muda wa marejesho ni hadi miaka 38,hii ni sawa na kusema World Bank wakikupa mkopo leo wa Tshs 100,000 utalazimika kuwalipa|kurejesha jumla ya Tshs 102,000 sawa na riba ya Tshs 2,000 tu kwa miaka 38,Kwa lugha rahisi World Bank ni sawa na kusema hawana riba ila wanakupa pesa ujenge miradi then uirudishe pesa yao, seriously am speechless vile Rais Samia anaupiga mwingi kwa Usahihi mkubwa huu,
Tukubaliane tu,kwa mwendo huu wa connections za Rais Samia kidunia mpaka kufikia 2030 Uchumi wa nchi hii utakuwa ni wakupigiwa mfano duniani,Tumuunge mkono Rais wetu kwa kufanya kazi kwa bidii.
.........Kazi iendelee .........
VIVA TANZANIA VIVA || VIVA SAMIA VIVA [/B]