Mlachake
JF-Expert Member
- Oct 13, 2009
- 4,412
- 4,559
When you see an opportunity take it.
Our government has proven very weak in handling issues.
Issue ya mafuta inaathiri Uchumi kwa kiasi kikubwa sana.
1. Ni mitambo mingapi imefungwa kwasababu ya ukosefu wa mafuta.
2.Ni magari mangapi yameshindwa kusafirisha Bidhaa.
Kama Data za Economic growth zingekua zinatoka kwa Mwezi, singeshangaa kuambiwa in the month of August 2011, we had a Positive economic growth.
Naomba nyie makampuni ya simu mzime mitambo yenu. Ishinikizeni hii Serikali ipunguze kodi. na itapunguza tu.
Our government has proven very weak in handling issues.
Issue ya mafuta inaathiri Uchumi kwa kiasi kikubwa sana.
1. Ni mitambo mingapi imefungwa kwasababu ya ukosefu wa mafuta.
2.Ni magari mangapi yameshindwa kusafirisha Bidhaa.
Kama Data za Economic growth zingekua zinatoka kwa Mwezi, singeshangaa kuambiwa in the month of August 2011, we had a Positive economic growth.
Naomba nyie makampuni ya simu mzime mitambo yenu. Ishinikizeni hii Serikali ipunguze kodi. na itapunguza tu.