Boramaisha
JF-Expert Member
- Apr 29, 2009
- 820
- 18
Wakuu mbona hatuambiwi ni MATUSI gani ambayo yanazungumziwa? Nakumbuka wakati wa kongamano la Taasisi ya Mwalimu Nyerere baadhi ya viongozi wastaafu wa ngazi ya juu wenye heshima na hadhi kubwa humu nchini walitoa madukuduku yao kuhusu ambavyo hawakubaliani na jinsi ambavyo Serikali inaendesha baadhi ya mambo. Makamba akakurupuka na kudai kwamba viongozi hao wamemtukana Rais! Kwa Mzee Makamba, kutoa dukuduku lako dhidi ya Rais ama kiongozi wa CCM ni kutukana! Ama kweli CCM wamefulia ile mbaya.