Mwanamayu
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 11,349
- 6,476
Kamati Kuu ya CCM
Wakati wa mchakato wa kumpata mgombea Uspika kwa tiketi ya CCM, iliamua kutoa upendeleo kwa wanawake kwenye kiti hicho na kuwaengua wanaume wote akiwemo Mhe. Sitta na Chenge. Wanawake waliobaki ni Anna Semamba Makinda, Anna Abdallah na Kate Kamba na hatimaye Anna Makinda kupata fursa hivyo.
Katiba inasema:
Ibara ya 20
(2) ...haitakuwa halali kwa chama chochote cha siasa kuandikishwa ambacho kutokana na katiba au sera yake:
(a) Kukusudia kukuza au kupigania maslahi ya:
(i) Imani au kundi lolote la dini
(ii) Kundi lolote la kikabila, mahali watokeapo, rangi au jinsia
[Swali la Msingi: hivi hawa CCM hawajavunja kweli kifungu cha 20(2)(ii) kwenye kipengele cha jinsia? Je, Spika huyu sio batili kwa mujibu wa ibara hii ya katiba?]
Wakati wa mchakato wa kumpata mgombea Uspika kwa tiketi ya CCM, iliamua kutoa upendeleo kwa wanawake kwenye kiti hicho na kuwaengua wanaume wote akiwemo Mhe. Sitta na Chenge. Wanawake waliobaki ni Anna Semamba Makinda, Anna Abdallah na Kate Kamba na hatimaye Anna Makinda kupata fursa hivyo.
Katiba inasema:
Ibara ya 20
(2) ...haitakuwa halali kwa chama chochote cha siasa kuandikishwa ambacho kutokana na katiba au sera yake:
(a) Kukusudia kukuza au kupigania maslahi ya:
(i) Imani au kundi lolote la dini
(ii) Kundi lolote la kikabila, mahali watokeapo, rangi au jinsia
[Swali la Msingi: hivi hawa CCM hawajavunja kweli kifungu cha 20(2)(ii) kwenye kipengele cha jinsia? Je, Spika huyu sio batili kwa mujibu wa ibara hii ya katiba?]