Makamba sema kama utaratibu huu wa kumpata Spika hamkuvunja katiba

Mwanamayu

JF-Expert Member
May 7, 2010
11,349
6,476
Kamati Kuu ya CCM

Wakati wa mchakato wa kumpata mgombea Uspika kwa tiketi ya CCM, iliamua kutoa upendeleo kwa wanawake kwenye kiti hicho na kuwaengua wanaume wote akiwemo Mhe. Sitta na Chenge. Wanawake waliobaki ni Anna Semamba Makinda, Anna Abdallah na Kate Kamba na hatimaye Anna Makinda kupata fursa hivyo.

Katiba inasema:
Ibara ya 20
(2) ...haitakuwa halali kwa chama chochote cha siasa kuandikishwa ambacho kutokana na katiba au sera yake:

(a) Kukusudia kukuza au kupigania maslahi ya:
(i) Imani au kundi lolote la dini
(ii) Kundi lolote la kikabila, mahali watokeapo, rangi au jinsia

[Swali la Msingi: hivi hawa CCM hawajavunja kweli kifungu cha 20(2)(ii) kwenye kipengele cha jinsia? Je, Spika huyu sio batili kwa mujibu wa ibara hii ya katiba?]
 
Uhuru wa mtu
kushirikiana na
wengine Sheria
ya 1984 Na.14(2) Bila ya kujali masharti ya ibara ndogo ya (1) haitakuwa
halali kwa chombo chochote cha siasa kuandikishwa ambacho
kutokana na Katiba au sera yake-
(a) kinakusudia kukuza au kupigania maslahi ya-
(i) imani au kundi lolote la dini;
(ii) kundi lolote la kikabila pahala watu
watokeapo, rangi au jinsia;
(iii) eneo fulani tu katika sehemu yoyote ya
Jamhuri ya Muungano;
(b) kinapigania kuvunjwa kwa Jamhuri ya Muungano:
(c) kinakubali au kupigania matumizi ya nguvu au
mapamba

@ MWANAMAYU HUJAELEWA VIZURI HICHO KIFUNGU,KINAONGELEA UANDIKISHWAJI WA CHAMA CHA SIASA,INA MAANISHA CHAMA CHA SIASA HAKITAANDIKISHWA KAMA KINAPIGANIA HIVYO VIPENGELE ULIVYO VITAJA,SASA CCM TAYARI NI CHAMA CHA SIASA NA KIMESHA ANDIKISHWA KWA MUJIBU WA SHERIA ,KANUNI,NA TARATIBU ZA NCHI,

HIVYO KWA SWALI LAKO NI KUWA CCM HAIKUVUNJA KATIBA,ILA IMELAZIMISHA UPATIKANAJI WA SPIKA MWANAMKE

MAPINDUZIIIII DAIMAAAAAAA
 
katiba ya tanzania ina viraka vingi sana kiasi kwamba kila kipengele ndani yake, kina kipengele kingine cha kupinga kipengele hicho. Na hivyo huwezi ku-argue kwa kutumia kipengele fulani na kisipatikane kipengele kingine cha kukipinga kipengele unachotumia.

It is crazy!!! U lazima wa kuandika upya katiba from the scratch uko wazi kabisa.
 
Kamati Kuu ya CCM

Wakati wa mchakato wa kumpata mgombea Uspika kwa tiketi ya CCM, iliamua kutoa upendeleo kwa wanawake kwenye kiti hicho na kuwaengua wanaume wote akiwemo Mhe. Sitta na Chenge. Wanawake waliobaki ni Anna Semamba Makinda, Anna Abdallah na Kate Kamba na hatimaye Anna Makinda kupata fursa hivyo.

Katiba inasema:
Ibara ya 20
(2) ...haitakuwa halali kwa chama chochote cha siasa kuandikishwa ambacho kutokana na katiba au sera yake:
(a) Kukusudia kukuza au kupigania maslahi ya:
(i) Imani au kundi lolote la dini
(ii) Kundi lolote la kikabila, mahali watokeapo, rangi au jinsia

[Swali la Msingi: hivi hawa CCM hawajavunja kweli kifungu cha 20(2)(ii) kwenye kipengele cha jinsia? Je, Spika huyu sio batili kwa mujibu wa ibara hii ya katiba?]

Thank you mwanamayu for tuition on Constituion.
My stand: Kwanini wanasheria wa Tanzania wanalala? Ina maana hili hawalioni?
 
Uhuru wa mtu
kushirikiana na
wengine Sheria
ya 1984 Na.14(2) Bila ya kujali masharti ya ibara ndogo ya (1) haitakuwa
halali kwa chombo chochote cha siasa kuandikishwa ambacho
kutokana na Katiba au sera yake-
(a) kinakusudia kukuza au kupigania maslahi ya-
(i) imani au kundi lolote la dini;
(ii) kundi lolote la kikabila pahala watu
watokeapo, rangi au jinsia;
(iii) eneo fulani tu katika sehemu yoyote ya
Jamhuri ya Muungano;
(b) kinapigania kuvunjwa kwa Jamhuri ya Muungano:
(c) kinakubali au kupigania matumizi ya nguvu au
mapamba

@ MWANAMAYU HUJAELEWA VIZURI HICHO KIFUNGU,KINAONGELEA UANDIKISHWAJI WA CHAMA CHA SIASA,INA MAANISHA CHAMA CHA SIASA HAKITAANDIKISHWA KAMA KINAPIGANIA HIVYO VIPENGELE ULIVYO VITAJA,SASA CCM TAYARI NI CHAMA CHA SIASA NA KIMESHA ANDIKISHWA KWA MUJIBU WA SHERIA ,KANUNI,NA TARATIBU ZA NCHI,

HIVYO KWA SWALI LAKO NI KUWA CCM HAIKUVUNJA KATIBA,ILA IMELAZIMISHA UPATIKANAJI WA SPIKA MWANAMKE

MAPINDUZIIIII DAIMAAAAAAA

Mwelekeo ukibadilika baada ya kuandikishwa, je kifungu hicho hakijavunjwa? Au hakuna kifungu kinachokibana chama cha siasa kutokubadilisha sera zake? Kama ndio, tunajua mambo yanabadilika kuendana na wakati na mahitaji, hivyo sera kubadilika ni lazima lakini pale mabadiliko sio kwa manufaa ya wote ni kuvunja misingi ya katiba yetu, je hapa inakuaje? Sio kurejea kwenye masharti ya kuandikishwa?
 
Back
Top Bottom