Makamba kaumbuka na Baraza Jipya

Januari atafanya kweli jimboni kwakwe kwakweli simlinganishi na wabunge wengi wa ccm. He embraces change and probably wants to build his way to the presidency slowly but effectively. atafika mbali.
 
Makamba mwenyewe huko ccm hawamtaki siku nyingi tu walishamwambia JK amtoe kwenye ukatibu mkuu,lakini ndio hivyo tena mkwere sijui huwa anataka kuwa na watu wa aina gani.
 
Mkuu Safari na wewe aha!!kwani hukusoma ding dong kutoka kwa yule mama aliyemchafua sana January? walikuwa wakijibizana kwenye facebook??? Ding dong ili dung dang lol!!!
 
nimeshangaa kutoona akitajwa maana alikuwa akipewa nafasi kubwa sana na wapambe wake...naona raisi kashtuka mapema....ila inatia shaka pamoja na kuoneaka nyota yake iko juu na kufanya kazi na raisi kwa muda mrefu leo anakosa hata kaunaibu waziri...

I bet the first reshuffle; and he is in.
 
Mkuu Safari na wewe aha!!kwani hukusoma ding dong kutoka kwa yule mama aliyemchafua sana January? walikuwa wakijibizana kwenye facebook??? Ding dong ili dung dang lol!!!

Sikuipata hiyo, hebu pakua tena japo kidogo. January alifanya'na' nini tena na huyo mama?
 
Nani kakuambia hato kua waziri, tunasubiri Mwakyembe afunue makucha yake ya kifisadi then apigwe chini na january achukue wizara.
 
Huyu jamaa alisema anakopa dola milioni 10 kuziwekeza East Africa, hiyo ilikuwa inaondoa plan ya yeye kuwa waziri, ingemletea matatizo.Nadhani huyu plan yake itakuwa ni kujijengea msingi madhubuti Bumbuli na kibiashara kwa huu muda wa miaka tano.
 
Ni mapema mno kufikiri kuwa januari katupwa. Lazima kuna ulaji anaandaliwa. Ccm ina wenyewe na wenyewe ndiyo akina makamba.
 
Ni mapema mno kufikiri kuwa januari katupwa. Lazima kuna ulaji anaandaliwa. Ccm ina wenyewe na wenyewe ndiyo akina makamba.

Trust me, kama kina Makamba ndio wenye CCM. January angepata hata Unaibu. CCM in wenyewe but Makambas ain't part of the CCM's elite.
 
Aliapa humu kuwa lazima mwanawe awe waziri....haijawa hakuna cha January wala February

Hajaumbuka ilikuwa ni gia ya kuwahadaa wapizani wake ,pamoja na wapiga kura huko jimboni kwao kwani wakijua ni waziri mtarajiwa itakuwa rahisi kwake kupita.

na hilo kafanikiwa kwani alipita bila kupingwa.
Jamani yule mzee ni mjanja.
 
Isiwe taabu. Bwana mdogo bado ana muda mzuri wa kuthibitisha ubora wake. Asionekane kama ameanguka na asilinganishwe na dingi wake anayeishi kwenye karne nyingine. Give him a chance. Hata kutoka CCM kuna wakati mambo mema huibuka. Let's see if he'll be a force for change or just another hype up.
 
Back
Top Bottom