Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,010
- 9,875
Waziri wa Nishati, January Makamba amesema Serikali imeanza mazungumzo na wawekezaji kutoka kampuni ya Equinor na Shell zinazotarajiwa kutekeleza mradi wa uchimbaji gesi asilia Kusini mwa Tanzania, mradi utakaogharimu shilingi trilioni 70
Waziri Makmba ameyasema hayo jijini Arusha akizungumza na waandishi wa habari ambapo amesema mpaka sasa hatua za awali zinaendelea vizuri hivyo Serikali inatazamia zoezi la uchimbaji wa gesi asilia kuanza ndani ya miaka minne
Ameongeza kuwa zoezi la uchimbaji na uchakataji wa gesi asilia lilitarajiwa kuanza mwaka 2016, hatua iliyokwamishwa na vikwazo ambavyo kwa sasa Serikali imeweka mipango madhubuti ya kuvitatua
Chanzo: TBC
Waziri Makmba ameyasema hayo jijini Arusha akizungumza na waandishi wa habari ambapo amesema mpaka sasa hatua za awali zinaendelea vizuri hivyo Serikali inatazamia zoezi la uchimbaji wa gesi asilia kuanza ndani ya miaka minne
Ameongeza kuwa zoezi la uchimbaji na uchakataji wa gesi asilia lilitarajiwa kuanza mwaka 2016, hatua iliyokwamishwa na vikwazo ambavyo kwa sasa Serikali imeweka mipango madhubuti ya kuvitatua
Chanzo: TBC