Makamba futa tarif 4 na tarrif 6, ambapo Bei ya unit moja ni sh 100 na sh 12 ilihali TANESCO wanaonunua zaidi ya 200

ubarinolutu

JF-Expert Member
Oct 22, 2012
1,964
3,895
Hii tarif 4 ambapo umeme unanunua unit 1 shilingi 100 ni hasara kwa shirika, kwani Bei ya umeme tanesco anauziwa 200 kwenda juu yeye anawapa watu kwa shilingi 100 kigezo ni umasikini na matumizi madogo.

Matajiri na watu wenye uchumi juu ndo wanaongoza kwa kuwa tarrif hii, huku mikoa inayoongoza kwa wateja wanaonunua umeme kwa 100, ikiwa ni Daresalaama,Arusha, Kilimanjaro, mbeya na mwanza, mikoa ambayo watu wanapesa kuliko, hii tarrif itaua shirika

Pia tarif 6 hii wanapewa wafanyakazi wa TANESCO , shirika linatumia zaidi ya Bilioni moja 1 kila Mwezi kuwapa wafanyakazi umeme wa ofa , shirika halitakaa likue
 
Ni kweli tariff hiyo ya sh 100 wanaoitumia wengi ni wenye vipato, ifutwe tu maana ni hasara kwa shirika, ni maoni tu.

Ifutwe then shirika libireshe ufanisi na utendaji wake kwa kutoa huduma Bora zaidi,ukiwa ni pamoja na kununua vitendea kazi ya shirika, pamoja na magari ili huduma ziwafikie wananchi kwa haraka zaidi
 
Unaye andika haya usha wahi kutafakari RISK walizo nazo fanyakazi wa Tanesco kwa
Aina ya kazi zao?

Acheni roho za kimasikini kila mfanyakazi ana bonus yake sehemu ya kazi. Sehemu nyingi za kazi wafanyakazi wana pewa BONUS ,TBL wana pewa bia kila mwisho wa Mwezi,Sigara wana pewa sigara kamo bonus,Kampuni za Simu wana pewa airtime,Saruji wana pewa Cement
 
Hii tarif 4 ambapo umeme unanunua unit 1 shilingi 100 ni hasara kwa shirika, kwani Bei ya umeme tanesco anauziwa 200 kwenda juu yeye anawapa watu kwa shilingi 100 kigezo ni umasikini na matumizi madogo. Matajiri na watu wenye uchumi juu ndo wanaongoza kwa kuwa tarrif hii, huku mikoa inayoongoza kwa wateja wanaonunua umeme kwa 100 , ikiwa ni Daresalaama,Arusha, Kilimanjaro, mbeya na mwanza, mikoa ambayo watu wanapesa kuliko, hii tarrif itaua shirika

Pia tarif 6 hii wanapewa wafanyakazi wa TANESCO , shirika linatumia zaidi ya Bilioni moja 1 kila Mwezi kuwapa wafanyakazi umeme wa ofa , shirika halitakaa likue
Bilion moja ya ofa kwa tanesco ni pesa ndogo sana mdau acha wawape wafanyakazi wao tu....
 
Sheria na kanuni za kijinga ndizo zinazosababisha wizi,rushwa na hujuma kila kona ya nchi.

Hivi kuna tatizo gani kwa bei ya umeme kuwa sawa kwa watumiaji wote.
Kama mtu ana matumizi makubwa atatumia zaidi na atanunua zaidi.
Mwenye matumizi madogo atatumia kidogo sio kupunguziwa bei tena kwa kufanya dili.

Yaani kwa bei hizo zinawafanya watu ndani ya Tanesco kupiga rushwa toka kwa wenye pesa ili wawekewe tarifu za chini kabisa wanunue umeme kwa bei ndogo.
Lakini Pia wafanyakazi wa Tanesco wanawaibia watanzania umeme.
Wafanyakazi wa Tanesco wengi hawanunui umeme wanapewa umeme mwingi sana kama bonas.
Sasa kwa wingi wao nadhani shirika ni lazima lipate hasara.


Hiyo ipo pia kwenye Mafuta ya Petroli ,diseli na mafuta ya taa.
Serikali inapata hadara kubwa sana kwa ujinga tu wa watu wabinafsi wasiojali maslahi ya taifa zaidi ya maslahi binafsi na siasa za kijinga.

Mafuta ya taa yanachanganywa sana na mafuta mengine kwa kuchakachua kwa sababu yana ushuru mdogo ukilinganisha na petrol. Sasa unajiuliza kwa nini kodi ya Mafuta ya taa isiwe juu ili kuondoa suala zima la kuchakachua na kuingiza taifa kwenye hasara ya kuwalipa wapiga dili ndani ya Ewura?

Simple ilikua umeme bei moja na Petrol ,diseli na mafuta ya taa yote bei moja 2300/- kwa mfano.

Mbona bando kwenye simu kila mmoja anapiga kwa gaharama inayotokana na matumizi ya na sio uwezo wa mtu eti ,kundi la kipato Fulani wakipiga simu au wakiweka bando bei iwe chini na wengine bei iwe juu.


Sent from my TECNO L8 Lite using JamiiForums mobile app
 
Hii tarif 4 ambapo umeme unanunua unit 1 shilingi 100 ni hasara kwa shirika, kwani Bei ya umeme tanesco anauziwa 200 kwenda juu yeye anawapa watu kwa shilingi 100 kigezo ni umasikini na matumizi madogo. Matajiri na watu wenye uchumi juu ndo wanaongoza kwa kuwa tarrif hii, huku mikoa inayoongoza kwa wateja wanaonunua umeme kwa 100 , ikiwa ni Daresalaama,Arusha, Kilimanjaro, mbeya na mwanza, mikoa ambayo watu wanapesa kuliko, hii tarrif itaua shirika

Pia tarif 6 hii wanapewa wafanyakazi wa TANESCO , shirika linatumia zaidi ya Bilioni moja 1 kila Mwezi kuwapa wafanyakazi umeme wa ofa , shirika halitakaa likue
Haya ndio mawazo ya kizalendo.Bila shaka management mpya imesikia italifanyia Kazi.

Hao wanaoitwa wa tarrif 4 wengi wao hata sio watu maskini wa kushindwa kulipia umeme..

Kuwekwe vigezo vipya vya ku assess umaskini Ili wanaostahili wapewe nafuu na wasiostahili wasipewe.

By the way kwani vyanzo vya umeme vinamilokiwa na nani hadi useme Tanesco anauziwa umeme kwa 200 per single unit?
 
Haya ndio mawazo ya kizalendo.Bila shaka management mpya imesikia italifanyia Kazi.

Hao wanaoitwa wa tarrif 4 wengi wao hata sio watu maskini wa kushindwa kulipia umeme..

Kuwekwe vigezo vipya vya ku assess umaskini Ili wanaostahili wapewe nafuu na wasiostahili wasipewe.

By the way kwani vyanzo vya umeme vinamilokiwa na nani hadi useme Tanesco anauziwa umeme kwa 200 per single unit?
Ukiangalia kwa undani utagundua mabeberu bado ndo wanatuuzia Gesi kuendesha mitambo ya kuzalisha umeme kwahiyo kiufupi Bei ya umeme inapangwa na mabeberu ya Gesi songas na kinyerezi. Cc ni tuna kauli kwenye vubwawa tu hivo
 
Tukisema mikoa ya kask hasa Kilimanjaro ilipendelewa sana na watu kula pakubwa kuliko mikoa mingine baadhi wanabisha, ukiacha hiyo mikoa ambayo ni majiji ni kwanini iwe Kilimanjaro? Upendeleo nchi hii ni afadhari twende kwenye serikali ya majimbo make kuna wanaokula vya wenzao sana
 
Tukisema mikoa ya kask hasa Kilimanjaro ilipendelewa sana na watu kula pakubwa kuliko mikoa mingine baadhi wanabisha, ukiacha hiyo mikoa ambayo ni majiji ni kwanini iwe Kilimanjaro? Upendeleo nchi hii ni afadhari twende kwenye serikali ya majimbo make kuna wanaokula vya wenzao sana
 
Sheria na kanuni za kijinga ndizo zinazosababisha wizi,rushwa na hujuma kila kona ya nchi.

Hivi kuna tatizo gani kwa bei ya umeme kuwa sawa kwa watumiaji wote.
Kama mtu ana matumizi makubwa atatumia zaidi na atanunua zaidi.
Mwenye matumizi madogo atatumia kidogo sio kupunguziwa bei tena kwa kufanya dili.

Yaani kwa bei hizo zinawafanya watu ndani ya Tanesco kupiga rushwa toka kwa wenye pesa ili wawekewe tarifu za chini kabisa wanunue umeme kwa bei ndogo.
Lakini Pia wafanyakazi wa Tanesco wanawaibia watanzania umeme.
Wafanyakazi wa Tanesco wengi hawanunui umeme wanapewa umeme mwingi sana kama bonas.
Sasa kwa wingi wao nadhani shirika ni lazima lipate hasara.


Hiyo ipo pia kwenye Mafuta ya Petroli ,diseli na mafuta ya taa.
Serikali inapata hadara kubwa sana kwa ujinga tu wa watu wabinafsi wasiojali maslahi ya taifa zaidi ya maslahi binafsi na siasa za kijinga.

Mafuta ya taa yanachanganywa sana na mafuta mengine kwa kuchakachua kwa sababu yana ushuru mdogo ukilinganisha na petrol. Sasa unajiuliza kwa nini kodi ya Mafuta ya taa isiwe juu ili kuondoa suala zima la kuchakachua na kuingiza taifa kwenye hasara ya kuwalipa wapiga dili ndani ya Ewura?

Simple ilikua umeme bei moja na Petrol ,diseli na mafuta ya taa yote bei moja 2300/- kwa mfano.

Mbona bando kwenye simu kila mmoja anapiga kwa gaharama inayotokana na matumizi ya na sio uwezo wa mtu eti ,kundi la kipato Fulani wakipiga simu au wakiweka bando bei iwe chini na wengine bei iwe juu.


Sent from my TECNO L8 Lite using JamiiForums mobile app
Kwani akina Mwigulu nao wananinua bando! Siwezi kuamini.
 
Hiyo ya wafanyakazi waondoe kabisa unit 750 kwa mwezi kweli huu unyonyaji, au wakistaafu huduma inasitishwa?
Nadhani pia kama shirika kuna kitu wanakikimbia,maana wao ndiyo wanaojua namna ya kuiba na kuzuia wizi wa umeme so kitendo cha kuwabana wafanyakazi wao wasipewe ahueni wao wafanyakazi watafundishana mbinu za kuiba na still kitalilazimisha shirika kuajiri wataalamu kutoka nje ya shirika ili kuwabaini wezi wa umeme nazo ni gharama pia.

Solution ni serikali kujitahidi kuboresha vyanzo vyake vya umeme ili kuendana na wakati tuliopo.
 
Back
Top Bottom