Pdidy
Platinum Member
- Nov 22, 2007
- 61,674
- 37,852
Sikushangaa kusikia huyu bwana akiwa iringa kumtisha masauni ajiuzulu ai katumwa na mabwana zake vyombo vya dola....
Inashangaza sana kuona mzee mwenye umri kama huu akijifia mikononi mwa mafisadi
kwa shida ya njaa zake...namhurumia siku zote makamba kama utaendela kutumiwa ipo
siku nchi itakamatwa na wasio mafisadi na kuihsia vyombo vya dola mzee pole sana
ushauri
kama unavyopiga kelele wabunge wasitumie majina ya rais kuomba ubunge si vyema na wewe ukiwa na uzee wako kutumia kumtishia mtu kwa kutumia jina la dola..bila masauni na wenzake dola isngekuwepo hilo naomba ujue dola inaitaji kutulinda na si kututtishia
naomba upuuzi huu usitumike tena ama ccm ama kwa familia yako kutishia maisha ya mtu ..kama ni njaa zako ishia na njaa zako uko na mafisadi si sehemu ya kutuharibia chama kwa kututishia..tena ukome na sema ukome mzee makamba.....
Inashangaza sana kuona mzee mwenye umri kama huu akijifia mikononi mwa mafisadi
kwa shida ya njaa zake...namhurumia siku zote makamba kama utaendela kutumiwa ipo
siku nchi itakamatwa na wasio mafisadi na kuihsia vyombo vya dola mzee pole sana
ushauri
kama unavyopiga kelele wabunge wasitumie majina ya rais kuomba ubunge si vyema na wewe ukiwa na uzee wako kutumia kumtishia mtu kwa kutumia jina la dola..bila masauni na wenzake dola isngekuwepo hilo naomba ujue dola inaitaji kutulinda na si kututtishia
naomba upuuzi huu usitumike tena ama ccm ama kwa familia yako kutishia maisha ya mtu ..kama ni njaa zako ishia na njaa zako uko na mafisadi si sehemu ya kutuharibia chama kwa kututishia..tena ukome na sema ukome mzee makamba.....