Makamanda mbona hamsomeki?


Kwamba kuna kamanda kanuna kuhusu Nyalandu?

Huku sasa si ndiyo kujitejenya na kucheka mwenyewe?

Samia na makombora yake ya safisha safisha mbona tunamwunga mkono mno?

Hivi Pole pole bado yumo?
 
Chama kinazidi kukomaa, hata akihama Mbowe CDM itakuwa imara zaidi, walihama mawaziri wakuu wastaafu wawili na chama kipo mioyoni mwa watu kama kawaida. Ujue Magufuli alitumia kila alichokuwa nacho kuua CDM lakini bado aliishia kufa yeye.
 
Mzee Mwanakijiji likes this
 
Uliisikia/ uliiona hii?

Niliisikia hii.

Huyu Mama ana maneno fulani ya taarabu za mipasho sana tu, ila anajua kujiweka kama mtaratibu kwa siasa za bongo on balance akilinganishwa na mtu mwenye maneno ya kunya kama Jiwe anaonekana huyu mama kama Mtakatifu fulani.
 
.

Ni wapi nimemlaumu au kumnunia, hebu soma post #56.
 
Kwamba kuna kamanda kanuna kuhusu Nyalandu?

Huku sasa si ndiyo kujitejenya na kucheka mwenyewe?

Samia na makombora yake ya safisha safisha mbona tunamwunga mkono mno?

Hivi Pole pole bado yumo?
Point yako ni nini? Kwamba kama Pole Pole kaondolewa uongozi huko ccm basi hiyo 2025 chadema inaenda kilaini tu ikulu?
 
Wakiwamo genge la wasukuma na genge la wanachato.

Kumbuka kuna tofauti baina ya genge na kabila.
Hilo ni genge. Tena genge hatari sana. Watu walioungana kwenye uhaeamia wa taifa sio watu. Siwaamini tena hadi leo. Wanafurahia maovu?? Aisee hawa viumbe ni hatari sana kuliko alishabaab
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…