Makamanda mbona hamsomeki?

Makamanda mbona hamsomeki?

Ni kitambo kidogo sijalonga na hawa washikaji zangu ‘makamanda’.

Lakini leo nadhani ni siku muafaka ya kulonga nao.

Sasa nyie makamanda, tokea Rais Samia ameshika hatamu za uongozi, nyie ndo mmekuwa mstari wa mbele kabisa kuimba mapambio kwake.

Mmekuwa na furaha isiyo na kifani! Furaha yenu hiyo inatokana na imani yenu ya kwamba yale mazonge mliyokuwa nayo enzi za hayati Rais Magufuli, sasa yamekwisha.

Kwamba eti yeye alikuwa mkali sana. Yeye alikuwa katili sana. Yeye alikuwa mshamba sana. Yeye alikuwa fisadi sana. Yeye alikuwa hivi na vile sana.

Sawa. Hayo ni maoni yenu tu. Na maoni yenu si lazima yawe ndo uhalisia wa hali au mambo.

Leo ngoja niwaulize swali: kama nyinyi sasa hivi ndo mmekuwa viongozi wa kuimba mapambio ya Rais Samia na CCM yake, kwa nini sasa leo mmenuna, mmevimba, na mmefura kisa tu ex-kamanda mwenzenu aitwaye Lazaro Samweli Nyalandu karudi CCM ili aweze kuunga mkono uendeleaji wa kazi za Rais Samia?

Kama nyie mnamuunga mkono Rais Samia, na yeye anamuunga mkono Rais Samia, wote nyie lenu si ni moja?

Mapovu ya nini sasa?

Ndo kusema hamjielewi kiasi hicho au?

Nimalizie kwa kuwaaga kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania…..

Au niwaage kwa People’s……

Teh teh teh 🤣🤣🤣
Wanasiasa wanaangalia fursa huoni marehemu Pombe anavyokanwa na wanaccm wenzake kuanzia spika na wengine nao wanamsifia Samia sasa Nyalandu kachungulia kaona fursa kwa Samia so acha aichangamkie
 
Hahahah mmawia inawezekana ndiye mwenyekiti wa chadema Lindi!
 
Ni kitambo kidogo sijalonga na hawa washikaji zangu ‘makamanda’.

Lakini leo nadhani ni siku muafaka ya kulonga nao.

Sasa nyie makamanda, tokea Rais Samia ameshika hatamu za uongozi, nyie ndo mmekuwa mstari wa mbele kabisa kuimba mapambio kwake.

Mmekuwa na furaha isiyo na kifani! Furaha yenu hiyo inatokana na imani yenu ya kwamba yale mazonge mliyokuwa nayo enzi za hayati Rais Magufuli, sasa yamekwisha.

Kwamba eti yeye alikuwa mkali sana. Yeye alikuwa katili sana. Yeye alikuwa mshamba sana. Yeye alikuwa fisadi sana. Yeye alikuwa hivi na vile sana.

Sawa. Hayo ni maoni yenu tu. Na maoni yenu si lazima yawe ndo uhalisia wa hali au mambo.

Leo ngoja niwaulize swali: kama nyinyi sasa hivi ndo mmekuwa viongozi wa kuimba mapambio ya Rais Samia na CCM yake, kwa nini sasa leo mmenuna, mmevimba, na mmefura kisa tu ex-kamanda mwenzenu aitwaye Lazaro Samweli Nyalandu karudi CCM ili aweze kuunga mkono uendeleaji wa kazi za Rais Samia?

Kama nyie mnamuunga mkono Rais Samia, na yeye anamuunga mkono Rais Samia, wote nyie lenu si ni moja?

Mapovu ya nini sasa?

Ndo kusema hamjielewi kiasi hicho au?

Nimalizie kwa kuwaaga kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania…..

Au niwaage kwa People’s……

Teh teh teh 🤣🤣🤣
Nyalandu alipotangaza kugombea Urais akishindana na LISSU ni CCM ndio waliomuunga mkono zaidi kuliko CDM. Leo CDM wanune sababu ya Lazaro?
 
Sikh zote nasema huu ndio udhaifu was CHADEMA yaani kuwa bize na matukio hawajui wafanyalo. Leo wako bize na akina mdee badala ya kuwa bize kupambana na mfumo uliosababisha akina mdee wawe pale. Wasichojua ni kwamba huo mfumo utawatesa siku zote, na hautawaacha. Mfumo huo ndio uliosababisha wengine kukimbia nchi na wengine kujiunga sisiem, na kuitwa wasaliti.
 
Ila mama anatuvuruga sana, sio Makamanda wala S. Gang wote tumevurugwa. Sijui tuungane maana naona sote tumekuwa watoto wa nje ya ndoa.
Au nasema Uongo #Nyani Ngabu
Mama anapiga chenga sana
 
Post zetu ziko humu humu jukwaani na hatukuwa tunamfagilia, huyo Nyalandu hakuwa na mvuto wowote ndani ya cdm. Na hakuna yoyote aliyenuna kwa Nyalandu kurudi ccm bali watu wanamwita mpigania tumbo tu. Ushahidi kuwa Nyalandu hakuwa na mvuto huko cdm, ni zile safari zake alizozunguka nchi nzima kutafuta watu wa kumuunga mkono ili kugombea urais kupitia cdm, ukiacha watu aliokuwa anazunguka nao kwenye lile basi lake chakavu, hakuwa na mvuto hata chembe.
Kama Hana mvuto ilikuwaje akashinda uenyekiti Kanda ya Kati?
Kamanda kubali tu kuwa mmepigwa d......le
 
Ayaaa! Kumbe wamenuna! sasa kama ndo hivyo wao wanataka mini sasa.
 
Ni kitambo kidogo sijalonga na hawa washikaji zangu ‘makamanda’.

Lakini leo nadhani ni siku muafaka ya kulonga nao.

Sasa nyie makamanda, tokea Rais Samia ameshika hatamu za uongozi, nyie ndo mmekuwa mstari wa mbele kabisa kuimba mapambio kwake.

Mmekuwa na furaha isiyo na kifani! Furaha yenu hiyo inatokana na imani yenu ya kwamba yale mazonge mliyokuwa nayo enzi za hayati Rais Magufuli, sasa yamekwisha.

Kwamba eti yeye alikuwa mkali sana. Yeye alikuwa katili sana. Yeye alikuwa mshamba sana. Yeye alikuwa fisadi sana. Yeye alikuwa hivi na vile sana.

Sawa. Hayo ni maoni yenu tu. Na maoni yenu si lazima yawe ndo uhalisia wa hali au mambo.

Leo ngoja niwaulize swali: kama nyinyi sasa hivi ndo mmekuwa viongozi wa kuimba mapambio ya Rais Samia na CCM yake, kwa nini sasa leo mmenuna, mmevimba, na mmefura kisa tu ex-kamanda mwenzenu aitwaye Lazaro Samweli Nyalandu karudi CCM ili aweze kuunga mkono uendeleaji wa kazi za Rais Samia?

Kama nyie mnamuunga mkono Rais Samia, na yeye anamuunga mkono Rais Samia, wote nyie lenu si ni moja?

Mapovu ya nini sasa?

Ndo kusema hamjielewi kiasi hicho au?

Nimalizie kwa kuwaaga kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania…..

Au niwaage kwa People’s……

Teh teh teh
Hakuna mtu aliyenuna kuondoka kwa Nyalandu. Ujio wa Nyalandu Chadema ni tofauti na wale waliokuja Kwa upepo wa Lowasa. Huyu alikuja kupata hifadhi ya kisiasa kwani baada ya kurudi toka kumuona Lissu kule Nairobi alianza kupewa vitisho na kashfa nyingi,hivyo akaona isiwe tabu akaondoka nasi tukampokea kwa upendo wote. Kilichomuondoa ni ukatili wa Meko na siasa zake za chuki na kutojali haki za binadamu,sasa kwa vile mtesi wake hayupo tena duniani ilikuwa sahihi kwake kurudi. Na tumemuekewa. Aende salama na hatuna deni naye.
 
Nyalandu alipotangaza kugombea Urais akishindana na LISSU ni CCM ndio waliomuunga mkono zaidi kuliko CDM. Leo CDM wanune sababu ya Lazaro?
Hata uenyekiti wa chadema kanda ya pwani ccm ndio walimteua.?
 
Hakuna mtu aliyenuna kuondoka kwa Nyalandu. Ujio wa Nyalandu Chadema ni tofauti na wale waliokuja Kwa upepo wa Lowasa. Huyu alikuja kupata hifadhi ya kisiasa kwani baada ya kurudi toka kumuona Lissu kule Nairobi alianza kupewa vitisho na kashfa nyingi,hivyo akaona isiwe tabu akaondoka nasi tukampokea kwa upendo wote. Kilichomuondoa ni ukatili wa Meko na siasa zake za chuki na kutojali haki za binadamu,sasa kwa vile mtesi wake hayupo tena duniani ilikuwa sahihi kwake kurudi. Na tumemuekewa. Aende salama na hatuna deni naye.
Na Suleiman mathew nae kwa nini Kahama?
 
Makamanda wametepeta, wamelowa.

Mama anaanza kuwashikisha ukuta.

Si wanamshangilia subiri awaonyeshe kazi.

Mbowe atarudi Dubai sio muda mrefu.
 
Leo ngoja niwaulize swali: kama nyinyi sasa hivi ndo mmekuwa viongozi wa kuimba mapambio ya Rais Samia na CCM yake, kwa nini sasa leo mmenuna, mmevimba, na mmefura kisa tu ex-kamanda mwenzenu aitwaye Lazaro Samweli Nyalandu karudi CCM ili aweze kuunga mkono uendeleaji wa kazi za Rais Samia?
Sidhani kama kuna makamanda walioshtuka saana kuona Nyalandu anarudi CCM, ni hisia zako tu. Naweza kusema ilishtua kuhama kwa Nassari, Silinde na Kafulila zaidi kuliko hii ya Nyalandu
 
Hakuna mtu aliyenuna kuondoka kwa Nyalandu. Ujio wa Nyalandu Chadema ni tofauti na wale waliokuja Kwa upepo wa Lowasa. Huyu alikuja kupata hifadhi ya kisiasa kwani baada ya kurudi toka kumuona Lissu kule Nairobi alianza kupewa vitisho na kashfa nyingi,hivyo akaona isiwe tabu akaondoka nasi tukampokea kwa upendo wote. Kilichomuondoa ni ukatili wa Meko na siasa zake za chuki na kutojali haki za binadamu,sasa kwa vile mtesi wake hayupo tena duniani ilikuwa sahihi kwake kurudi. Na tumemuekewa. Aende salama na hatuna deni naye.
siyo kweli nyimbo kwenu haziimbiki amerudi kuimba kwa mama
 
Tangu wafanye matambiko kule Simiu, wana CCM akili zao kama zimefungiwa kabatini.
.
20210416_081237.jpg
 
Ni kitambo kidogo sijalonga na hawa washikaji zangu ‘makamanda’.

Lakini leo nadhani ni siku muafaka ya kulonga nao.

Sasa nyie makamanda, tokea Rais Samia ameshika hatamu za uongozi, nyie ndo mmekuwa mstari wa mbele kabisa kuimba mapambio kwake.

Mmekuwa na furaha isiyo na kifani! Furaha yenu hiyo inatokana na imani yenu ya kwamba yale mazonge mliyokuwa nayo enzi za hayati Rais Magufuli, sasa yamekwisha.

Kwamba eti yeye alikuwa mkali sana. Yeye alikuwa katili sana. Yeye alikuwa mshamba sana. Yeye alikuwa fisadi sana. Yeye alikuwa hivi na vile sana.

Sawa. Hayo ni maoni yenu tu. Na maoni yenu si lazima yawe ndo uhalisia wa hali au mambo.

Leo ngoja niwaulize swali: kama nyinyi sasa hivi ndo mmekuwa viongozi wa kuimba mapambio ya Rais Samia na CCM yake, kwa nini sasa leo mmenuna, mmevimba, na mmefura kisa tu ex-kamanda mwenzenu aitwaye Lazaro Samweli Nyalandu karudi CCM ili aweze kuunga mkono uendeleaji wa kazi za Rais Samia?

Kama nyie mnamuunga mkono Rais Samia, na yeye anamuunga mkono Rais Samia, wote nyie lenu si ni moja?

Mapovu ya nini sasa?

Ndo kusema hamjielewi kiasi hicho au?

Nimalizie kwa kuwaaga kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania…..

Au niwaage kwa People’s……

Teh teh teh
Sasa bwashee ni nani alieumia nyalandu kusepa? Au leo umeona uandike andike tu na wewe uonekane upo? Sasa nyalanfu alikuwa ni nani hasa pale chadema kiasi kwamba wateseke? Wamefukuzwa kina Mdee na wenzie hapakuwa na mstuko sembuse Nyalandu? Hebu leteni topic nyingine maana hii imekuwa ya kitoto sana
 
Makamanda wana shida za kujitakia
Dawa ya hawa jamaa nikutowaambia madhaifu yao ili wasije wakashituka, maana inaonekana bado wapo kwenye usingizi mzito sana.
 
Back
Top Bottom