Makalio ya kichina yananitesa

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Feb 3, 2009
42,322
33,127
<table border="0" cellpadding="0" cellspacing="0" width="100%"><tbody><tr><td align="left" bgcolor="#cccccc"><table border="0" cellpadding="0" cellspacing="0" width="100%"><tbody><tr><td class="news1">

</td> <td class="news1" align="right" width="150">
</td> </tr> </tbody></table></td> </tr> <tr> <td bgcolor="#999999">
pix.gif
</td> </tr> <tr> <td class="morenews" align="left" bgcolor="#f3f3f3" valign="top"><!--ThumbBegin--> <!--ThumbEnd-->
Juanita, aliyasema hayo alipokutana na waandishi wetu, Kariakoo, Mchikichini, Dar es Salaam, alipokwenda kufanya ‘shopping’ ya vitu vyake binafsi.

Alisema, makalio yake yanampa mateso makubwa, kwani mara kwa mara amejitahidi kuyapunguza lakini hakuna mafanikio yoyote ambayo ameyapata mpaka sasa.

“Jamani haya si makalio yangu, ni ya kichina,” alisema Juanita huku akitoa machozi na kuongeza: “Sijui ni lini Mungu atanisaidia kuondokana na mateso haya.”

Juanita aliendelea kusema: “Wakati mwingine nashindwa kutembea barabarani, kila nikionekana machoni kwa watu naonekana kituko, watu wananishangaa na kunizomea.

“Fikirieni wenyewe haya ni mateso kiasi gani, sina raha lakini nimeyataka mwenyewe. Nimejitahidi kutumia dawa kupunguza hayapunguziki.”

Akiongea ‘in & out’ juu ya ishu yake, Juanita alisema, alishawishika kuanza kutumia dawa za Kichina ili kukuza makalio baada ya kuanza kuchekwa na wenzake mtaani kuwa ni kimbaumbau na hana wowowo.

Alisema, kutokana hali ya kuchekwa mara kwa mara, aliona ni vema afanye juu chini ili kuitengeneza heshima yake, ndipo alipoamua kujiingiza kwenye matumizi ya dawa za “kuumua makalio” ambazo zimemfikisha alipo sasa.

“Nilianza kutumia mwaka juzi, mabadiliko yakawa ya ghafla, mtaani watu wakawa wananipongeza kuwa nina shepu nzuri, hipsi safi lakini haikuishia hapo, makalio yangu yaliongezeka kila siku.

“Mwaka jana ilikuwa hatari, nikaanza kujiona ni binadamu wa peke yangu, nikawa naona aibu lakini kuna siku mtu aliniletea picha ya yule mshiriki wa Maisha Plus, Efrancya Mangi, nikaambiwa naye anatumia.

“Aliyeniletea hiyo picha aliniambia, Juanita usidhani upo peke yako, akaongeza, mbona Efrancya naye anatumia dawa za kichina lakini yupo kawaida na umbo lake ni kubwa kuliko langu? Nilimkubalia na kujiona kumbe mimi si wa ajabu,” alisema Juanita.

Aliongeza: “Baadaye nikapigwa na butwaa baada ya kusoma habari gazetini kuwa Efrancya yeye makalio yake si ya kichina, bali ni umbo lake halisi, kwa kweli kuanzia hapo niliumia sana na kila siku naona yanakua kiasi ambacho kama mnavyoniona, hata huyo Efrancya ni cha mtoto.”

Kuhusu mtindo wake wa maisha kwa sasa, Juanita alisema kuwa analazimika kupunguza pirika za maisha kwa sababu mitaani watu wakimuona wanamzomea hasa akipita Kariakoo.

Alisema, maisha yake ni magumu lakini hulazimika akiwa na safari akodi taksi kwa sababu akipanda daladala watu huacha mazungumzo yanayowahusu na kumjadili yeye waziwazi kitu ambacho alikielezea kwamba huwa kinamuuma.

“Hata nyumbani mimi naonekana mtu mzima wakati ni mdogo, wazazi wangu wanajitahidi kunifanya niwe na furaha lakini uwezo wao ni mdogo, ila pamoja na umbo langu lakini ni mwepesi mpaka huwa najishangaa,” alisema Juanita.

Alipoulizwa dawa hizo za kichina alinunua hapa Bongo kwa nani, kati ya Maimartha Jesse au Khadija Shaibu ‘Dida’ ambao wamekuwa wakihusishwa na biashara hiyo, Juanita alijibu kuwa hajanunua kwao, isipokuwa aliletewa na rafiki yake kutoka China.

“Huyo rafiki yangu huwa anaziuza Morogoro, sasa alikuwa ananiletea na zilifanya kazi haraka, lakini za kupunguza zimeshindwa, hivi sasa ameniahidi akienda tena anatinunulia,” alisema Juanita.

Awali, waandishi wetu wakiwa ‘bize’ katika misele yao ya kipaparazi, walimuona Juanita akitoka ndani ya taksi na kuingia kwenye duka moja, linalouza vifaa mbalimbali kwa matumizi ya nyumbani, Kariakoo.

Mapaparazi wa Ijumaa, walishtushwa na kelele za Wamachinga, waliokuwa wakizomea na kupiga miluzi, hivyo kugeuka na kumshuhudia Juanita akijitahidi kutembea kwa aibu kabla ya kumfuata na kufanya naye mahojiano.

Huko nyuma, mwandishi wa gazeti hili amewahi kuzungumza na Efrancya ambaye alisema kuwa makalio yake ni ya kawaida, kwani familia yao yote ipo hivyo.

“Hata mama yangu yupo hivi, najua kuna watu wanaamini mimi natumia dawa za kichina lakini siyo kweli,” alisema Efrancya.
Kilio cha Juanita na makalio ya kichina, kinakuja baada ya miezi miwili iliyopita kutokea kifo cha Miss Argentina 1994, Solange Magnano aliyefariki dunia alipokuwa akifanyiwa upasuaji wa kupunguza makalio.

Solange, 38, alifariki baada ya kukumbwa na tatizo la kuziba kwa mishipa ya damu (pulmonary embolism) akiwa kwenye hospitali moja iliyopo jijini Buenos Aires, Argentina.

Mbali na tukio hilo, lipo lingine la dada mmoja tuliyemnasa kwa jina moja la Semala, anayeishi Keko Magurumbasi, Dar ambaye anahaha kupunguza tumbo lake ambalo linakua kila siku.

Habari kutoka kwa mtu wake wa karibu zinasema kuwa Semala alitumia dawa za kuongeza tumbo matokeo yake kuzidi kipimo alichokihitaji, hivyo kuwa kubwa zaidi.

“Ni kubwa sana, anatumia dawa za kupunguza wapi,” alisema mtoa habari wetu.
Maimartha na Dida, kwa muda mrefu wamekuwa wakituhumiwa kuuza dawa za kichina za kuongea au kupunguza maumbile, ingawa muda wote wamekuwa wakikanusha.

Watangazaji hao wenye majina makubwa, wamewahi pia kukaguliwa na maafisa wa serikali, kutoka mamlaka zinazohusika lakini hakuna dawa ya kichina wala harufu yake iliyokutwa kwenye maduka yao.

Gazeti hili linawaasa warembo kujihadhari na matumizi ya dawa ambazo hazijapitishwa kitaalamu, kwani zimebainika kuwa na athari hasi kubwa kuliko chanya. Ni vema wakajiamini na kujikubali kulingana na jinsi Mungu alivyowaumba, kwani kinyume chake ni kuchukua uamuzi mbaya ambao baadaye unageuka ni mateso. Mhariri.
http://www.globalpublisherstz.com/2008/06/17/kumbukumbu_ya_bongo.html


</td></tr></tbody></table>
 
Mhhhh! ukitaka uzuri sharti udhurike! hii inatisha! duh! Wo wo wo linaumuka kama limetiwa hamira! Makubwa haya!
 
hawa watu wanautani; makalio ya kichina? nionesheni mchina mwenye makalio kama haya! Dunia nzima ukitaka kuwa na makalio kama hayo ni lazima uwe na damu ya kiafrika.
 
hawa watu wanautani; makalio ya kichina? nionesheni mchina mwenye makalio kama haya! Dunia nzima ukitaka kuwa na makalio kama hayo ni lazima uwe na damu ya kiafrika.

Kiongozi wanazungumzia madawa ya kichina ya kuongeza hayo maungo..ambayo dada zetu wameyafakamia ;)
 
maneno safi sana haya..mkuu kumbe umo katika mambo ya scriptures

Mazee,

Scriptures are full of philosophy. Philosophy & Natural Sciences are my main interests, sometimes I feel like my 24hrs a day are not enough for me to explore and educate myself on this stuff.
 
safi sana dada, zidisha zaidi dawa za kuumua ******, mbona bado hayajaumuka hayo? vitako vidogo kama hivyo rafiki yangu unaanza kulalamika?
mwambie rafiki yako wa china aje na zile toleo jipya, hizo zinakuza ****** within a fraction of a second!! try that one!
 
njoo kwangu mama, mimi sibagui...yawe ya kichina, ya kizaramo twende kazi...
 
<TABLE cellSpacing=0 cellPadding=0 width="100%" border=0><TBODY><TR><TD align=left bgColor=#cccccc><TABLE cellSpacing=0 cellPadding=0 width="100%" border=0><TBODY><TR><TD class=news1>


</TD><TD class=news1 align=right width=150>

</TD></TR></TBODY></TABLE></TD></TR><TR><TD bgColor=#999999>
pix.gif
</TD></TR><TR><TD class=morenews vAlign=top align=left bgColor=#f3f3f3><!--ThumbBegin--> <!--ThumbEnd-->
Juanita, aliyasema hayo alipokutana na waandishi wetu, Kariakoo, Mchikichini, Dar es Salaam, alipokwenda kufanya ‘shopping’ ya vitu vyake binafsi.

Alisema, makalio yake yanampa mateso makubwa, kwani mara kwa mara amejitahidi kuyapunguza lakini hakuna mafanikio yoyote ambayo ameyapata mpaka sasa.

“Jamani haya si makalio yangu, ni ya kichina,” alisema Juanita huku akitoa machozi na kuongeza: “Sijui ni lini Mungu atanisaidia kuondokana na mateso haya.”

Juanita aliendelea kusema: “Wakati mwingine nashindwa kutembea barabarani, kila nikionekana machoni kwa watu naonekana kituko, watu wananishangaa na kunizomea.

“Fikirieni wenyewe haya ni mateso kiasi gani, sina raha lakini nimeyataka mwenyewe. Nimejitahidi kutumia dawa kupunguza hayapunguziki.”

Akiongea ‘in & out’ juu ya ishu yake, Juanita alisema, alishawishika kuanza kutumia dawa za Kichina ili kukuza makalio baada ya kuanza kuchekwa na wenzake mtaani kuwa ni kimbaumbau na hana wowowo.

Alisema, kutokana hali ya kuchekwa mara kwa mara, aliona ni vema afanye juu chini ili kuitengeneza heshima yake, ndipo alipoamua kujiingiza kwenye matumizi ya dawa za “kuumua makalio” ambazo zimemfikisha alipo sasa.

“Nilianza kutumia mwaka juzi, mabadiliko yakawa ya ghafla, mtaani watu wakawa wananipongeza kuwa nina shepu nzuri, hipsi safi lakini haikuishia hapo, makalio yangu yaliongezeka kila siku.

“Mwaka jana ilikuwa hatari, nikaanza kujiona ni binadamu wa peke yangu, nikawa naona aibu lakini kuna siku mtu aliniletea picha ya yule mshiriki wa Maisha Plus, Efrancya Mangi, nikaambiwa naye anatumia.

“Aliyeniletea hiyo picha aliniambia, Juanita usidhani upo peke yako, akaongeza, mbona Efrancya naye anatumia dawa za kichina lakini yupo kawaida na umbo lake ni kubwa kuliko langu? Nilimkubalia na kujiona kumbe mimi si wa ajabu,” alisema Juanita.

Aliongeza: “Baadaye nikapigwa na butwaa baada ya kusoma habari gazetini kuwa Efrancya yeye makalio yake si ya kichina, bali ni umbo lake halisi, kwa kweli kuanzia hapo niliumia sana na kila siku naona yanakua kiasi ambacho kama mnavyoniona, hata huyo Efrancya ni cha mtoto.”

Kuhusu mtindo wake wa maisha kwa sasa, Juanita alisema kuwa analazimika kupunguza pirika za maisha kwa sababu mitaani watu wakimuona wanamzomea hasa akipita Kariakoo.

Alisema, maisha yake ni magumu lakini hulazimika akiwa na safari akodi taksi kwa sababu akipanda daladala watu huacha mazungumzo yanayowahusu na kumjadili yeye waziwazi kitu ambacho alikielezea kwamba huwa kinamuuma.

“Hata nyumbani mimi naonekana mtu mzima wakati ni mdogo, wazazi wangu wanajitahidi kunifanya niwe na furaha lakini uwezo wao ni mdogo, ila pamoja na umbo langu lakini ni mwepesi mpaka huwa najishangaa,” alisema Juanita.

Alipoulizwa dawa hizo za kichina alinunua hapa Bongo kwa nani, kati ya Maimartha Jesse au Khadija Shaibu ‘Dida’ ambao wamekuwa wakihusishwa na biashara hiyo, Juanita alijibu kuwa hajanunua kwao, isipokuwa aliletewa na rafiki yake kutoka China.

“Huyo rafiki yangu huwa anaziuza Morogoro, sasa alikuwa ananiletea na zilifanya kazi haraka, lakini za kupunguza zimeshindwa, hivi sasa ameniahidi akienda tena anatinunulia,” alisema Juanita.

Awali, waandishi wetu wakiwa ‘bize’ katika misele yao ya kipaparazi, walimuona Juanita akitoka ndani ya taksi na kuingia kwenye duka moja, linalouza vifaa mbalimbali kwa matumizi ya nyumbani, Kariakoo.

Mapaparazi wa Ijumaa, walishtushwa na kelele za Wamachinga, waliokuwa wakizomea na kupiga miluzi, hivyo kugeuka na kumshuhudia Juanita akijitahidi kutembea kwa aibu kabla ya kumfuata na kufanya naye mahojiano.

Huko nyuma, mwandishi wa gazeti hili amewahi kuzungumza na Efrancya ambaye alisema kuwa makalio yake ni ya kawaida, kwani familia yao yote ipo hivyo.

“Hata mama yangu yupo hivi, najua kuna watu wanaamini mimi natumia dawa za kichina lakini siyo kweli,” alisema Efrancya.
Kilio cha Juanita na makalio ya kichina, kinakuja baada ya miezi miwili iliyopita kutokea kifo cha Miss Argentina 1994, Solange Magnano aliyefariki dunia alipokuwa akifanyiwa upasuaji wa kupunguza makalio.

Solange, 38, alifariki baada ya kukumbwa na tatizo la kuziba kwa mishipa ya damu (pulmonary embolism) akiwa kwenye hospitali moja iliyopo jijini Buenos Aires, Argentina.

Mbali na tukio hilo, lipo lingine la dada mmoja tuliyemnasa kwa jina moja la Semala, anayeishi Keko Magurumbasi, Dar ambaye anahaha kupunguza tumbo lake ambalo linakua kila siku.

Habari kutoka kwa mtu wake wa karibu zinasema kuwa Semala alitumia dawa za kuongeza tumbo matokeo yake kuzidi kipimo alichokihitaji, hivyo kuwa kubwa zaidi.

“Ni kubwa sana, anatumia dawa za kupunguza wapi,” alisema mtoa habari wetu.
Maimartha na Dida, kwa muda mrefu wamekuwa wakituhumiwa kuuza dawa za kichina za kuongea au kupunguza maumbile, ingawa muda wote wamekuwa wakikanusha.

Watangazaji hao wenye majina makubwa, wamewahi pia kukaguliwa na maafisa wa serikali, kutoka mamlaka zinazohusika lakini hakuna dawa ya kichina wala harufu yake iliyokutwa kwenye maduka yao.

Gazeti hili linawaasa warembo kujihadhari na matumizi ya dawa ambazo hazijapitishwa kitaalamu, kwani zimebainika kuwa na athari hasi kubwa kuliko chanya. Ni vema wakajiamini na kujikubali kulingana na jinsi Mungu alivyowaumba, kwani kinyume chake ni kuchukua uamuzi mbaya ambao baadaye unageuka ni mateso. Mhariri.
http://www.globalpublisherstz.com/2008/06/17/kumbukumbu_ya_bongo.html



</TD></TR></TBODY></TABLE>


Amuone daktari wa kichina pia, vinginevyo nani alaumiwe? Hayo yote yameletwa na tamaa zake, labda amtafute mwanamme mwenye tochi ya kichina, nadhani wataendana.
 
Huyu ni obese case mbona mpaka usu mikono imejazana au navyo alivipaka hiyo hamira?Apunguze kula ovyo
 
Mbona kama anayafurahia haonyeshi huzuni yeyote ile tena katabasamu vzr sana mmmh
 
kweli aliyesema watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa hapo juu hajakosea mmh
Mbona hatuliziki na tulivyoumbwa
 
hawa watu wanautani; makalio ya kichina? nionesheni mchina mwenye makalio kama haya! Dunia nzima ukitaka kuwa na makalio kama hayo ni lazima uwe na damu ya kiafrika.

Yaani kuna watu wa ajabu sana. Kwa nini uamini dawa ya kukufanya unenepe hivyo? Hawajui inaweza kuwaletea athari nyingine mbaya katika miili yao? Hivi ni kitu gani kinawafanya wawe na maamuzi kama haya? Elimu ndogo, kutaka kupendwa zaidi na wanaume, kuwa mrembo au kutokuwa na kitu kingine tena katika maisha cha kufanya?
 
Ukubwa wa puto kiboko yake mwiba....aje kwangu huyo gwaride lake lazima atakonda bila dawa.
 
Back
Top Bottom