Zitto kafanya siasa za ujanjaujanja na ulaghai kwa muda mrefu,kapoteza future za vijana wengi kwa kuwarubuni ili mradi tu yeye afike kileleni na sasa kabaki kutapatapa.MSHAURINI AWAHI NAFASI ACT,HUKU UKAWA HATUHITAJI VIBARAKA,WASANII,VIGEUGEU NA WASALITI.