Makaidi ajitolea kunusuru 'ndoa' ya Zitto, CHADEMA

Makaidi ajitolea kunusuru 'ndoa' ya Zitto, CHADEMA

Ccm imeshindwa kutatua kero na kuleta maendelo yanayohitajika nchini tangu kipindi cha mkapa lakin chaajabu bado inashinda tu!
Acha mada za kipuuzi, hii post yako unataka Zitto aishiwe kutukanwa na kukashifiwa. CCM hapa walipofikia lazima watoke sio kwa Zitto kuwa cdm, cuf au Nccr, awe hai ama amekufa ni lazima ccm wang'oke. Udhaifu wa ccm na kushindwa kutekeleza matakwa ya jamii ndio sababu haswa ya ccm kun'goka na wala Sio Zitto kuwa Ukawa ama wapi. Kwani ni lazima awe ndani ya Ukawa ndio wang'oke? Anaweza kuwang'oa ccm akiwa popote kulingana na jinsi atakavyoweza kuushawishi umma kwanini awatoe ccm na ataufanyia nini umma akishawatoa ccm.

Ila wewe umekuja kiccm ili kuwaprovoke watu wajenge chuki dhidi ya Zitto kwa wewe kumpaka mafuta kwa mgongo wa chupa. Acha utoto umeshakuwa mtu mzima siasa hizi za kipuuzi peleka huko ccm kwa kina EL, Membe nk ndio wamezoea siasa za makundi na kuwekeana sifa za kijinga huku wakichafuana.
 
Zitto ndiye mwanasiasa kijana mwenye mvuto kwa sasa kuwamo kwake kwenye UKAWA kutasaidia sana kuing'oa CCM kwa uraisi Kutokana na ushawishi alionao kwa kwa vijana, kwa maana hiyo tunaomba zitto aingie katika ushiriano huu kupitia CUF au NCCR huu ni muono wa vijana wengi wa nchi hii.

Sio vibaya wala sio dhambi kumpenda Zitto Kabwe.

Hata hivyo huwezi kuwachagulia watanzania nani awe ndani ya UKAWA ama nje ya UKAWA.
 
Ukawa ni Wachumiatumbo - Zitto Kabwe.

Zitto atuambie kama alikuwa amelewa alipotoa kauli hii...
 
Zitto si ana Chama chake? Aungane na Ccm tuwang'oe wote.Tena naungana na aliyesema bora Ccm itawale tena kuliko kuingoa tukiwa na Zitto.
 
Zitto ndiye mwanasiasa kijana mwenye mvuto kwa sasa kuwamo kwake kwenye UKAWA kutasaidia sana kuing'oa CCM kwa uraisi Kutokana na ushawishi alionao kwa kwa vijana, kwa maana hiyo tunaomba zitto aingie katika ushiriano huu kupitia CUF au NCCR huu ni muono wa vijana wengi wa nchi hii.

You are forgetting one big factor. Voter fraud.
 
Zitto ndiye mwanasiasa kijana mwenye mvuto kwa sasa kuwamo kwake kwenye UKAWA kutasaidia sana kuing'oa CCM kwa uraisi Kutokana na ushawishi alionao kwa kwa vijana, kwa maana hiyo tunaomba zitto aingie katika ushiriano huu kupitia CUF au NCCR huu ni muono wa vijana wengi wa nchi hii.

Ndg huo ni utapia mlo wa mawazo yako, kwani unataka kutuaminisha kuwa bila Zitto hakutakuwa na ukawa yenye nguvu?
Na ni vema ungesema huu ni muono wako sio wa vijana wengi Zitto ni km dot (.) kwenye ukawa inaweza kufutwa bado ukawa ikaendelea.
 
Jana nilimuona akiongea ITV nikamwonea huruma kidogo.
Hajiamini tena! Anaongea kwa kukakamaa na kulazimishia sana!
Nadhani anajutia kiaina kunyea kambia
 
Zitto ndiye mwanasiasa kijana mwenye mvuto kwa sasa kuwamo kwake kwenye UKAWA kutasaidia sana kuing'oa CCM kwa uraisi Kutokana na ushawishi alionao kwa kwa vijana, kwa maana hiyo tunaomba zitto aingie katika ushiriano huu kupitia CUF au NCCR huu ni muono wa vijana wengi wa nchi hii.

Nahisi huo upenzi wako kwa ZZK ni kiashiria cha tatizo pana la afya ya akili yako; tafuta msaada wa kitabibu; haiwezekani kwamba licha ya upana na kina cha upashanaji habari siku hizi bado umeziba masikio na mcho kuhusu taarifa zote zinazomzunguka ZZK??!!
Hata hivyo performance ya UKAWA katika uchaguzi wa serikali za mitaa uliomalizika majuzi; licha ya wizi na hujuma za chama tawala na serikali yake kupitia vyombo vya umma vya dola!!! ni ishara tosha kwa mtu "mwenye akili timamu"; kuona, kujua, kutambua na kuelewa kwamba UKAWA ina uwezo wa kuing'oa CCM madarakani bila shirika na maYuda Iskariot.

Bora kuchelewa; kuliko kuingia shirika haramu na wasaliti tunaowajua kwa haja tu ya kuwang'oa CCM madarakani; Tuchelewe lakini tufike salama ili kufanikisha malengo yetu ya kuleta ukombozi wa nchi hii kutoka kwenye makucha ya majizi haya ya CCM. VIVA UKAWA: freedom is coming tommorow! Aluta Continua.
 
Ccm imeshindwa kutatua kero na kuleta maendelo yanayohitajika nchini tangu kipindi cha mkapa lakin chaajabu bado inashinda tu!

Ni kweli ila wanashinda kwa wingi wa kura? Ama kwa kutumia njia nyingine hasa wizi wa kura, rushwa, kutumia jeshi la polisi na tume ya uchaguzi isiyo huru.
 
Zitto ndiye mwanasiasa kijana mwenye mvuto kwa sasa kuwamo kwake kwenye UKAWA kutasaidia sana kuing'oa CCM kwa uraisi Kutokana na ushawishi alionao kwa kwa vijana, kwa maana hiyo tunaomba zitto aingie katika ushiriano huu kupitia CUF au NCCR huu ni muono wa vijana wengi wa nchi hii.

zitto ni kikwazo kikubwa kufikia kuiondoa ccm.atumbie kwanza ni akina nani waliolamba hela za escrow kupitia bank ya stanbic na atuambie majina ya walioficha hela uko uswisi.tuambie kwa nini kwenye hajaweka waz majina na acc zao
 
Katika ukurasa wa kwanza wa gazeti la Mwananchi la leo,kuna habari isemayo "Makaidi ajitolea kunusuru ndoa ya Zitto,CHADEMA". Kwenye habari hiyo inayoandikwa katika kurasa za 1 na 4, Mwenyekiti huyo mwenza wa UKAWA na NLD Emmanuel Makaidi amekaririwa akidai kuwa Zitto alimuomba kumpatanisha na Mwenyekiti wa CHADEMA,Freeman Mbowe. Makaidi amedai kuwa sasa yu tayari kuanza kazi aliyoombwa na Zitto kwakuwa Mbowe anaingilika na ni mtu makini,safi na muungwana.

Lakini,Zitto alipoulizwa kuhuu hilo alikana na kusema kuwa kama kuna haja ya kufanya hivyo atakaa na Mbowe na kuyamaliza. Pia Zitto amesema kuwa asilazimiswe kuingia UKAWA kwa njia ya CHADEMA tu kwakuwa aweza kuingia UKAWA kupitia CUF,NCCR-Mageuzi au ACT-Tanzania. Alisema "Huyu mzee ni mtu ninayemheshimu sana na juhudi zake ni nzuri,lakini sijawahi kuzungumza naye kuhusu kupatanishwa na chama changu,sisi wenyewe tuna uwezo kukaa wawili na kuyamaliza,jitihada zake kwasasa hazijahitajika"

Baada ya kukana kumuomba Makaidi, Makaidi amesema " amekana huyu Bwana,haa! Tulikutana pale kantini Bungeni,aweza kukutajia namashhidiwaliokuwapo,laini mimi nilikuwa nafuatilia jinsi ykumuingia huyoBwana mkubwa wa CHADEMA na sasa naona inawezekana."

Lengo ni zuri. Lakini mkweli ni nani?
=======================

Makaidi! Kama mtoto! !! Kumbe si wazee wote wana busara!
 
Kosa la Zitto ni kuutaka uenyekiti... kuna watu wanafikiri Mbowe yuko tofauti sana na viongozi wa Kiafrika wanaolazimisha kuongoza hata ikibidi kuua...

Umenisaidia kujibu.
 
Katika ukurasa wa kwanza wa gazeti la Mwananchi la leo,kuna habari isemayo "Makaidi ajitolea kunusuru ndoa ya Zitto,CHADEMA". Kwenye habari hiyo inayoandikwa katika kurasa za 1 na 4, Mwenyekiti huyo mwenza wa UKAWA na NLD Emmanuel Makaidi amekaririwa akidai kuwa Zitto alimuomba kumpatanisha na Mwenyekiti wa CHADEMA,Freeman Mbowe. Makaidi amedai kuwa sasa yu tayari kuanza kazi aliyoombwa na Zitto kwakuwa Mbowe anaingilika na ni mtu makini,safi na muungwana.

Lakini,Zitto alipoulizwa kuhuu hilo alikana na kusema kuwa kama kuna haja ya kufanya hivyo atakaa na Mbowe na kuyamaliza. Pia Zitto amesema kuwa asilazimiswe kuingia UKAWA kwa njia ya CHADEMA tu kwakuwa aweza kuingia UKAWA kupitia CUF,NCCR-Mageuzi au ACT-Tanzania. Alisema "Huyu mzee ni mtu ninayemheshimu sana na juhudi zake ni nzuri,lakini sijawahi kuzungumza naye kuhusu kupatanishwa na chama changu,sisi wenyewe tuna uwezo kukaa wawili na kuyamaliza,jitihada zake kwasasa hazijahitajika"

Baada ya kukana kumuomba Makaidi, Makaidi amesema " amekana huyu Bwana,haa! Tulikutana pale kantini Bungeni,aweza kukutajia namashhidiwaliokuwapo,laini mimi nilikuwa nafuatilia jinsi ykumuingia huyoBwana mkubwa wa CHADEMA na sasa naona inawezekana."

Lengo ni zuri. Lakini mkweli ni nani?
=======================
Hata kama mzee Makaidi anaweza kuwa mkweli lakini je, alitumwa na Zitto awahusishe watu wa media au alifanya hivyo kwasababu gani? Kama alitaka kumuandaa Mbowe kisaikolojia, alipaswa kumweleza ZZK nia hiyo ambayo hata mimi siipendi. Kwa kuhusisha media, mzee aliteleza.Nashauri aepuke media na aendelee na kazi nzuri ya kiMungu ya upatanishi.
 
bila kujali ID yako,naunga mkono hoja hii

Pole sana,naona kadiri siku za uchaguzi zinavyokaribia wafuasi na vibaraka vya msaliti mkuu mnaanza kuweweseka kwa kushindwa kujua hatma ya bwana wenu na chama atakachokitumia kugombea ubunge! Poleni sana,mwambieni lile genge la act bado linamuhitaji!
 
Back
Top Bottom