mwanzoni nilikuwa namkubali sana lakini kumbe ni mnafiki mkubwa kibaraka wa ccm
Zitto ametoa sharti moja tu. AELEZWE KOSA LAKE NI LIPI HASA MPAKA HATA AOMBE MSAMAHA? waache kuvuruga swali la msingi la Zitto.
kwa wewe umelewaje hapoKwahiyo unataka kusema zitto anatumika na maCCM...?
Unaamini kwa umri wa Mzee Makaidi anaweza kumsingizia ZZK??
kama ni nyoka umegonga kichwani kabisa. na huo ndo ukweli mchungu kwa akina mbowe-slaa.Kosa la Zitto ni kuutaka uenyekiti... kuna watu wanafikiri Mbowe yuko tofauti sana na viongozi wa Kiafrika wanaolazimisha kuongoza hata ikibidi kuua...
Unaamini kwa umri wa Mzee Makaidi anaweza kumsingizia ZZK??
Zitto ndiye mwanasiasa kijana mwenye mvuto kwa sasa kuwamo kwake kwenye UKAWA kutasaidia sana kuing'oa CCM kwa uraisi Kutokana na ushawishi alionao kwa kwa vijana, kwa maana hiyo tunaomba zitto aingie katika ushiriano huu kupitia CUF au NCCR huu ni muono wa vijana wengi wa nchi hii.
Zitto ndiye mwanasiasa kijana mwenye mvuto kwa sasa kuwamo kwake kwenye UKAWA kutasaidia sana kuing'oa CCM kwa uraisi Kutokana na ushawishi alionao kwa kwa vijana, kwa maana hiyo tunaomba zitto aingie katika ushiriano huu kupitia CUF au NCCR huu ni muono wa vijana wengi wa nchi hii.
Kaungane nae huko mkutane actbila kujali ID yako,naunga mkono hoja hii
na ni bora mara mia ccm ikaendelea kutawala kuliko kuiondoa ccm kwa kushirikiana na zitto kabwe