yaliyomoyamo
JF-Expert Member
- Oct 17, 2014
- 603
- 452
Zitto ameshafulia,, sasa sio Zitto tena bali ni Nyepesi,, huyo msaliti na mnafiki wala hatumtaki,,, akauze mawese kigoma
na ni bora mara mia ccm ikaendelea kutawala kuliko kuiondoa ccm kwa kushirikiana na zitto kabwe
Zitto ndiye mwanasiasa kijana mwenye mvuto kwa sasa kuwamo kwake kwenye UKAWA kutasaidia sana kuing'oa CCM kwa uraisi Kutokana na ushawishi alionao kwa kwa vijana, kwa maana hiyo tunaomba zitto aingie katika ushiriano huu kupitia CUF au NCCR huu ni muono wa vijana wengi wa nchi hii.
na ni bora mara mia ccm ikaendelea kutawala kuliko kuiondoa ccm kwa kushirikiana na zitto kabwe
Zitto ndiye mwanasiasa kijana mwenye mvuto kwa sasa kuwamo kwake kwenye UKAWA kutasaidia sana kuing'oa CCM kwa uraisi Kutokana na ushawishi alionao kwa kwa vijana, kwa maana hiyo tunaomba zitto aingie katika ushiriano huu kupitia CUF au NCCR huu ni muono wa vijana wengi wa nchi hii.
Zitto ndiye mwanasiasa kijana mwenye mvuto kwa sasa kuwamo kwake kwenye UKAWA kutasaidia sana kuing'oa CCM kwa uraisi Kutokana na ushawishi alionao kwa kwa vijana, kwa maana hiyo tunaomba zitto aingie katika ushiriano huu kupitia CUF au NCCR huu ni muono wa vijana wengi wa nchi hii.
Zitto ndiye mwanasiasa kijana mwenye mvuto kwa sasa kuwamo kwake kwenye UKAWA kutasaidia sana kuing'oa CCM kwa uraisi Kutokana na ushawishi alionao kwa kwa vijana, kwa maana hiyo tunaomba zitto aingie katika ushiriano huu kupitia CUF au NCCR huu ni muono wa vijana wengi wa nchi hii.
AMEKUTUMA? ACHA KUTUMIKA VIBAYA KIJANA, UKAWA si kichaka cha Maovu.....Zitto ndiye mwanasiasa kijana mwenye mvuto kwa sasa kuwamo kwake kwenye UKAWA kutasaidia sana kuing'oa CCM kwa uraisi Kutokana na ushawishi alionao kwa kwa vijana, kwa maana hiyo tunaomba zitto aingie katika ushiriano huu kupitia CUF au NCCR huu ni muono wa vijana wengi wa nchi hii.
Uharo mtupu! Who is zitto kabwe? Tena,ni rahisi sana kwa ccm kung'oka madarakani bila zitto kuwemo ndani ya UKAWA. Nasema hivi kwa kuwa Zitto ni mnafiki na msaliti,karudisha nyuma mapambano zidi ya maharamia CCM.
Ukawa hatuwezi tukawa na karumekenge kama huyu. Huyu size yake ni akina kitila na akina mwigambaZitto ni mwanachama wa CHADEMA, kwa hiyo automatically ni mwana UKAWA. Au we mleta mada unaelewaje?