Makaidi ajitolea kunusuru 'ndoa' ya Zitto, CHADEMA

Makaidi ajitolea kunusuru 'ndoa' ya Zitto, CHADEMA

Anafaham kabisa kuwa ni mwanachama wa mahakama na yy analifaham
So anaposema bado ni mwanachama wa CDM anachekesha kwa kweli
 
Lazima chadema wajikombe kwa zitto kwani akiondoka na chama hakipo
 
Wanasiasa wengi wanaotokea mkoa wa Kigoma huwa ni wasaliti, wanapenda sifa na madaraka ya haraka... refer Dk Aman Kabrou, David Kafulila, Zitto Kabwe na wengine wengi sana!
 
Wanasiasa wengi wanaotokea mkoa wa Kigoma huwa ni wasaliti, wanapenda sifa na madaraka ya haraka... refer Dk Aman Kabrou, David Kafulila, Zitto Kabwe na wengine wengi sana!

siyo kwamba hawapendi kuona demokrasia ikiminywa?
 
Zzk opportunist sana kaona act atakufa kisaiasa kaamua arudi CHADEMA...Nyambafu zake
 
Wenye kariba ya kuwa Marais nchi hii ni wawili tu hadi sasa so far...
Ni Zitto au LOWASSA
 
zitto kajibu vema kabisa, magazet yetu yana waandish weng n makanjanja, we mtu hajahama chama wanaandika anataka kurudi? arudi akitokea wapi? hovyo kabsa
 
Nikumbushe kidogo kikao gani kilimvua uanachama? ??? Maana mi nafahamu alivuliwa nyadhifa zote
 
Ni mwanachama wa Mahakama.

Ni kwali mkuu, ila nadhani kama atapenda kuomba msamaha na arejeshwe kundini maana maana hatuwezi kuikomboa nchi kwa kuwatenga wananchi. Maana hakuna asiyekosa hapa duniani. Naye pia ni mwananchi
 
Moja ya mashariti magumu kabisa aliyotoa Zitto ili kufanya suruhu na Chadema ni kama ifutavyo
1. Kwamba wale wote waliochafua ndani ya Chama waadhibiwe na pia chama kimsafishe na hizo tuhuma
2. Kama anarudi basi anarudi na washirika wake wote wa kisiasa( Kitila, Mwigamba) na wote waliomsapoti kipindi chote cha mgogoro wake na CDM(Karibia nusu ya ACT-Tanzania)

Hapa sioni mwafaka utapatikana
 
Back
Top Bottom