Screenshort?! What's that!Sure, post screenshort
Hapo kawapasha akina Mwigamba na kitila, kumbe anawajua tabia zaooo. Poa ZZK wapashe wasikuchanganye hao kwani ni sawa na chui aliyejambia jiwe.
WanaJF hii sentensi imekaaje, ina maana huwa anawasaidia kisirisiri sasa wakizidi kumweka wazi ataacha kutoa msaada.watu wanadhani wannisaidia kumbe wananifanya niogope hata kuwasaidia.
Hata hela alizochukua IPTL aliwapelekea wao wakati wa kusajili chama.WanaJF hii sentensi imekaaje, ina maana huwa anawasaidia kisirisiri sasa wakizidi kumweka wazi ataacha kutoa msaada.
PIGA KURA YA HAPANA KWA KATIBA PENDEKEZWA
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...-zitto-wetu-watanzania-mkombozi-wa-jamii.html... siku za hivi karibuni kumetokea kundi la watu wasiotumia akili kujua kwamba nina kesi mahakamani na bado mimi nahitaji kuwa mbunge mpaka nimalize miezi iliyobaki, lakini wao kwa utashi wao wanaandika na kuongea sehemu nyingi kuwa mimi ni mwanachama wa act, je ikitokea chama changu chadema kikaamua kupeleka hayo maneno mahakamani wanadhani nitabakia kuwa mbunge?...
Mwigamba A.K.A chui aliyejambia jiwe awezi kuacha kujigamba kuwa ana maandalizi mazito ya Kumpokea Zitto na Lowasa chamani ACT
Mwigamba chui tena? Yeye ni jiwe lililojambiwa; linanuka; hiyo ndio kauli ya Msajili tuache kubadili maana.