brand udom
Member
- Dec 19, 2014
- 40
- 14
Anarudije Chadema wakati hajawahi kutoka Chadema
nimeipenda avatar yako tu mkuu. tehtehteh
Anarudije Chadema wakati hajawahi kutoka Chadema
Lazima chadema wajikombe kwa zitto kwani akiondoka na chama hakipo
Lazima chadema wajikombe kwa zitto kwani akiondoka na chama hakipo
Zzk opportunist sana kaona act atakufa kisaiasa kaamua arudi CHADEMA...Nyambafu zake
Ni mwanachama wa Mahakama.
Yawezekana kwani hata Dr Slaa anaendelea kulipia kadi ya CCM
Ni juzi tu akina Mbowe walimpigia makofi na kumpongeza. Ni juzi tu walimkaribisha kwenye kikao chao cha UKAWA
Screenshort plz, share na sisi.
Kadi yangu bado ninayo, kama ni wazo la watu kuwa nitahamia chama fulani na libaki kuwa wazo tu,
siku za hivi karibuni kumetokea kundi la watu wasiotumia akili kujua kwamba nina kesi mahakamani na bado mimi nahitaji kuwa mbunge mpaka nimalize miezi iliyobaki, lakini wao kwa utashi wao wanaandika na kuongea sehemu nyingi kuwa mimi ni mwanachama wa act, je ikitokea chama changu chadema kikaamua kupeleka hayo maneno mahakamani wanadhani nitabakia kuwa mbunge?
watu wanadhani wannisaidia kumbe wananifanya niogope hata kuwasaidia.
hata ugomvi wao wanaoendelea nao huko kwa sasa mimi sihusiki, ikiwa watu hawataki kubadilika huwezi kuwabadilisha.
nitabaki kuwa chadema mpaka itakapoamuliwa kwa sababu naona kuna watu wanapupa za ajabu sana wanaweza kunipotezea mwelekeo
source : Whatsapp sms kutoka kwake kuja kwangu jana
Hapo kawapasha akina Mwigamba na kitila, kumbe anawajua tabia zaooo. Poa ZZK wapashe wasikuchanganye hao kwani ni sawa na chui aliyejambia jiwe.