Makaidi ajitolea kunusuru 'ndoa' ya Zitto, CHADEMA

Makaidi ajitolea kunusuru 'ndoa' ya Zitto, CHADEMA

ZZk mm nakupenda tatizo hii misimamo ya kikuda ndo haifai kabisa.
 
Mzee Makaidi ni mtu muongo sana, ni mzee mmoja mp.umbavu na wa ovyo kweli huyo mzee hupenda kuingilia mambo yasiomuhusu, matatizo ya CDM yanamhusu nini yeye.



Sent from my SM-G800H using Tapatalk

.... Zito Ndo Kamuomba Ampatanishe Na Mbowe
 
Zitto ni mwanasiasa bora, ila haeleweki. Anadiriki kumruka mzee makaidi. Adui wa zitto ni zitto mwenyewe, Act ni chama kilichosajiliwa kwa mgongo wa zitto . Hilo zitto mwenyewe analijua, akubali akatae.
 
Naamini makaidi yuko kweli ila huyu bbwana mkubwa zitto anaona akikubali ataonekana desparate sana na anathani itamshushia hadhi. Tatizo la zitto ameshajiona mtu wa maana sana ni better kuliko wengine. Mimi nathani anajua hata kama akienda hicho chama alichokianzisha cha ACTS hatafanikiwa kama angekaa chadema. Kujenga chama si kazi nyepesi.

Huyu zitto ni matatizo ready to happen tu hata kwa CHADEMA hata UKAWA. Kwaxushauri huyu bwana mzitto aachwe aende zake huko atakapo. Tuone atafika wapi na uchu wake wa madaraka. WATU WALIO PROUD NI HATARI SANA.
Asingekuwa wa maana msingembembeleza arudi
 
problems can never be solved by the same level of thinking that created it,makaidi is not grown up in politics, kama kweli waliongea secret kwann atumie magazeti kueleza kilicho jiri? lazma hata kama ni mimi ningemruka.
 
zitto ndiye mkweli Kwa ni swala lake linalomuhusu moja Kwa moja.

zito ni mkweli sana na ndiyo maana aliahidi kutoa majina ya wenye account uswisi kama serikali ingeshindwa kuyatoa na akayatoa kweli.anayesema zito muongo sijui uongo wake ni nini
 
It's simple zitto kasema aambiwe kosa alilofanya ndipo aombe radhi kabla ya upatanisho na kurejea kundini. Acheni kuzunguka mwenye evidence ya nini hasa kosa a lilo fan ya aweke hapa. Hii ndio njia mwafaka ya maridhiano ya kweli na itamsaidia yeye na wanachama wengine siku za usoni
 
Mzee Makaidi ni mtu muongo sana, ni mzee mmoja mp.umbavu na wa ovyo kweli huyo mzee hupenda kuingilia mambo yasiomuhusu, matatizo ya CDM yanamhusu nini yeye.



Sent from my SM-G800H using Tapatalk
Aipolo kwa makuzi ya watz hakuna mzee mpumbavu ondoa ujinga wako hapa.... waweza fikisha msg yako bila kumtukana mzee huyu.... kwa maneno yako hayo una tofauti gani na makonda?
 
It's simple zitto kasema aambiwe kosa alilofanya ndipo aombe radhi kabla ya upatanisho na kurejea kundini. Acheni kuzunguka mwenye evidence ya nini hasa kosa a lilo fan ya aweke hapa. Hii ndio njia mwafaka ya maridhiano ya kweli na itamsaidia yeye na wanachama wengine siku za usoni
zito makosa yake anayajua.... mwache tu na dharau na kiburi chake... insubordination ni kosa kubwa lazima uwe delt with...... bila kutumia busara hata kama una akili kama mfalme suleiman hapa duniani utaumia tu....
 
Kama Zitto na Mbowe wana mambo binafsi wanayotaka kusuluhisha, hayatuhusu. Lakini kama ni mambo ya chama yatamalizwa kichama. CDM si mali ya Mbowe.
 
It's simple zitto kasema aambiwe kosa alilofanya ndipo aombe radhi kabla ya upatanisho na kurejea kundini. Acheni kuzunguka mwenye evidence ya nini hasa kosa a lilo fan ya aweke hapa. Hii ndio njia mwafaka ya maridhiano ya kweli na itamsaidia yeye na wanachama wengine siku za usoni


Haujui kuwa alishakabidhiwa tuhuma zake wakati anasimamishwa uongozi?

Zitto hajawahi kufukuzwa uanachama

Ila kwa kupeleka kesi mahakamani amejifukuzisha uanachama.

Naunga mkono hatua za kumrudisha yeye kundini....lakini siungi mkono tabia yake ya kiburi ya kujifanya yuko juu zaidi ya taasisi
 
Si Mnakumbuka Alivyounga Mkono Hoja Ya Chenge Na Kuwaacha Wenzake Njia Panda, Huku Kafulila Akibaki Anapayuka Tu Akisema "Hata Wewe, Hata Wewe....
Tuna tatizo na wanasiasa "mkumbo!" au "bendera fuata upepo" wao kazi yao ni kufuata tuu misimamo ya vyama!, hawa mimi nawaita wanasiasa ma "ignorants!", Zitto ni miongoni mwa wanasiasa wachache ambao ni ma realist!, bunge lilipoteza muda mwingi sana katika "drafting" tuu ya azimio lile, Change ni mmoja wa wazoefu wakubwa wa "legal drafting", pendekezo alilolitoa yeye ndio was the best na ndilo hatimaye limekuja kutumika!, wanasiasa na ignorants tuu ndio walipiga pendekezo la Chenge simply because ni mtuhumiwa!. Jee pendekezo hilo hilo liliporudishwa kwenye maazimio ya mwisho, mijitu mijinga ile ile iliyopinga mwanzo, ikapiga makofi na kushangilia!, huu kama sio ujinga ni nini?!.

Inapotokea mtu ni mgonjwa, unahitaji tiba, mwenye tiba hata kama humpendi, pokea tiba yake, uendelee kuishi kuliko kususia, na kuishia kuwa "no more!"

"Baniani mbaya kiatu chake dawa!", nilisikitishwa na zile vurugu na nimeziita ni ujinga!.[h=3]Pamoja Na Ufisadi Wake Wote, Chenge is One of Best Brains[/h]Pasco
 
Kwa takwimu zilizopo ni kuwa Zitto ana mgogoro na taasisi iliyokatika mfumo wa chama cha siasa. Taasisi hiyo inaitwa CHADEMA. Kupatanishwa Zitto na Mbowe hilo nalisikia leo , sikujua kama wana mgogoro.

==================================================================================
Mwenyekiti huyo mwenza wa UKAWA na NLD Emmanuel Makaidi amekaririwa akidai kuwa Zitto alimuomba kumpatanisha na Mwenyekiti wa CHADEMA,Freeman Mbowe. Makaidi amedai kuwa sasa yu tayari kuanza kazi aliyoombwa na Zitto kwakuwa Mbowe anaingilika na ni mtu makini,safi na muungwana.

Lakini,Zitto alipoulizwa kuhuu hilo alikana na kusema kuwa kama kuna haja ya kufanya hivyo atakaa na Mbowe na kuyamaliza. Pia Zitto amesema kuwa asilazimiswe kuingia UKAWA kwa njia ya CHADEMA tu kwakuwa aweza kuingia UKAWA kupitia CUF,NCCR-Mageuzi au ACT-Tanzania. Alisema "Huyu mzee ni mtu ninayemheshimu sana na juhudi zake ni nzuri,lakini sijawahi kuzungumza naye kuhusu kupatanishwa na chama changu,sisi wenyewe tuna uwezo kukaa wawili na kuyamaliza,jitihada zake kwasasa hazijahitajika"
Waandishi wa Habari wa Tanzania wanashida sana.
 
Back
Top Bottom