Makafara katika ujenzi wa magorofa

Makafara katika ujenzi wa magorofa

Hapana mimi sio mwenyeji wa tanga, vipi umewahi kuona tanga hiyo kitu ndugu mshana
 
Mshana Jr.eti MTU anaweza kukufanyia kafara usiweze kuendeleza Nyumba au ukiitaji kuuza usiuze ?na ufanyeje ili kuvunja nguvu ya kafara yake
 
Yaani kutokana na maelezo yako ndiyo maisha yangu yanavyokwenda. Mimi ni Mkrito na ninasali kawaida, mambo yangu mengi Mungu ananionyesha kwenye ndoto, ninaweza kuomba kazi, interview nikaota niko kwenye interview na maswali nitajibu na nitapata kazi, sasa nikiamka inabidi niandike maswali kwenye diary yangu, baada ya miaezi sita au mwaka ni kweli nitaomba kazi na interviwer sura itakuwa familiar baadae ndiyo ninakumbuka niliota hii ndoto.

Kazi yangu ya sasa inamajukumu ya kusafiri sana, ninapofika sehemu mpya nitakumbuka hii sehemu nilishafika, na ninakumbuka njia nilizopita, lakini baadae ndiyo ninakumbuka niliota.
Ni zawadi Mungu aliyonipa na inanisaidia sana.
deja vu
 
Maarifa na uzoefu wako unapovichanganya na tabia yako ya kupenda wengine wajue, hapo ndipo ninapoendelea kuamini kuwa, U wa pekee!
Let life grant you in extraordinary !!! mshana jr
^^
 
Mshanajr Mimi mwenyewe tangu nihamie kwangu najijisi hovyo pia kama sijielewi hiv natamani kuhama
 
Hahaha naomba nikuulize mshana jr kuna siku nilimsindikiza shost ila kuna viku sikuelewa moto uliletwa pale kuku akaletwa pale na vile vibuuyu vibuyu akaanza kumzungushia kichwani yule kuku pale ndo ilikuwa ndo nini kuku hakuchijwa ila alichomoa nyoa na kulichoma ndo nini sasa vile
 
Nakumbuka nikiwa mdogo nyumbani kwetu alikuja mganga akaagua watu wote mwisho ikachinjwa kuku kama kafara usiku wa saa nne nikateuliwa mimi kwenda kulifukia hilo kafara mbele ya nyumba yetu nikiwa uchi.je hii inamaana gani na yapi madhara yake kwangu?@mshana jr
 
Hahaha naomba nikuulize mshana jr kuna siku nilimsindikiza shost ila kuna viku sikuelewa moto uliletwa pale kuku akaletwa pale na vile vibuuyu vibuyu akaanza kumzungushia kichwani yule kuku pale ndo ilikuwa ndo nini kuku hakuchijwa ila alichomoa nyoa na kulichoma ndo nini sasa vile
Hiyo ilikuwa tiba iliyoambatana na kafara
 
Back
Top Bottom