Makachero wa Kagame mbaroni Dodoma

Makachero wa Kagame mbaroni Dodoma

Tuliwahi kuonya humu jamvini tukaonekana wazushi lakini ukweli ni kwamba kuna security bleach kubwa sana na haikuanza juzi au jana
Badala ya mamlaka zetu kupambana na maadui wa nje wamewekeza kupambana na CDM !
 
Tuliwahi kuonya humu jamvini tukaonekana wazushi lakini ukweli ni kwamba kuna security bleach kubwa sana na haikuanza juzi au jana
Badala ya mamlaka zetu kupambana na maadui wa nje wamewekeza kupambana na CDM !
Walivyokuwa wazuri mfalme hajaokota hapo mmoja kweli? kwani kagame anaujua udhaifu wake
 
wote mmechanganyikiwa. wadada wa kinyarwanda walivyo na tamaa za jamaa walioko Dodoma. hakuna wakusalimika. ila mimi sina wasiwasi nao kabisa. ningewaruhusu wapeleleze watakavyo kwa sababu ni wajinga tu ndo wsnaweza kuleta hoja ya rwanda kutupeleleza leo wakati trails zinaonesha hatuwezi kuwakwepa. tulishawahi kuwa na gavana, akina kaberuka, tumewaoa na watoto, majeshini, tiss. tumechelewa. na hali ilivyo hayupo wa kuutegua huu mtego. Mwacheni kagame. anatujua ila hana uwezo wala nia ya kuivuruga nchi jirani ya Tanzania. anatuhitaji kuliko tunavyodhani.
 
Mashushushu wanawake wanne raia wa Rwanda wanaoaminika kutumwa na Rais Paul Kagame wamekamatwa mjini Dodoma. Wamekamatwa wakiwa wameshajenga uhusiano wa karibu na baadhi ya viongozi waandamizi pamoja na wajumbe wa Bunge la Katiba.

Pamoja nao Rwanda inadaiwa kuingiza makachero wengine wengi ili waungane na wakimbizi wa Kitutsi walioingia hapa nchini katika miaka ya 1958/1959 na mwaka 1994. Habari kutoka vyanzo vya uhakika zinasema wapelelezi wengi wamekuwa wakiingia nchini kupitia Karagwe mkoa wa Kagera, ambako kumeanza kuonekana kama sehemu ya Jamhuri ya Rwanda.

Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi ya Tanzania imethibitisha kukamatwa kwa makachero wanawaeke wanne raia wa Rwanda, wakijifanya ni makahaba, lakini baada ya uchunguzi imebainika pasi na shaka kwamba ni makachero toka Rwanda. Ukahaba unatumika kama moja ya nyezo adhimu katiak shughuli za ukachero.

Duru za uchunguzi zimebaini kuwa wanawake hao ni sehemu ya makachero waliotumwa kuichunguza Tanzania, kwa lengo la kulinda maslahi ya Rwanda. Waziri wa mambo ya ndani ya nchi, Mathias Chikawe, amethibitisha kukamatwa kwa wanawake hao, lakini amekataa kuingia ktika undani wa suala hilo.

Habari ipo kwa kirefu gazeti la Jamhuri.

Kwa hiyo viongozi wetu huko waliko badala ya kujadili katiba wamekuwa wakijifaragua na machangu doa?
 
isijekua hii story ni ya kubumba si mnajua imetolewa kwenye siku ambayo ni siku ya wajinga
 
Mashushushu wanawake wanne raia wa Rwanda wanaoaminika kutumwa na Rais Paul Kagame wamekamatwa mjini Dodoma. Wamekamatwa wakiwa wameshajenga uhusiano wa karibu na baadhi ya viongozi waandamizi pamoja na wajumbe wa Bunge la Katiba.

Pamoja nao Rwanda inadaiwa kuingiza makachero wengine wengi ili waungane na wakimbizi wa Kitutsi walioingia hapa nchini katika miaka ya 1958/1959 na mwaka 1994. Habari kutoka vyanzo vya uhakika zinasema wapelelezi wengi wamekuwa wakiingia nchini kupitia Karagwe mkoa wa Kagera, ambako kumeanza kuonekana kama sehemu ya Jamhuri ya Rwanda.

Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi ya Tanzania imethibitisha kukamatwa kwa makachero wanawaeke wanne raia wa Rwanda, wakijifanya ni makahaba, lakini baada ya uchunguzi imebainika pasi na shaka kwamba ni makachero toka Rwanda. Ukahaba unatumika kama moja ya nyezo adhimu katiak shughuli za ukachero.

Duru za uchunguzi zimebaini kuwa wanawake hao ni sehemu ya makachero waliotumwa kuichunguza Tanzania, kwa lengo la kulinda maslahi ya Rwanda. Waziri wa mambo ya ndani ya nchi, Mathias Chikawe, amethibitisha kukamatwa kwa wanawake hao, lakini amekataa kuingia ktika undani wa suala hilo.

Habari ipo kwa kirefu gazeti la Jamhuri.

Biashara ya ngono sawa, ukachero hapana? Hii kweli bongo
 
Mashushushu wanawake wanne raia wa Rwanda wanaoaminika kutumwa na Rais Paul Kagame wamekamatwa mjini Dodoma. Wamekamatwa wakiwa wameshajenga uhusiano wa karibu na baadhi ya viongozi waandamizi pamoja na wajumbe wa Bunge la Katiba.

Pamoja nao Rwanda inadaiwa kuingiza makachero wengine wengi ili waungane na wakimbizi wa Kitutsi walioingia hapa nchini katika miaka ya 1958/1959 na mwaka 1994. Habari kutoka vyanzo vya uhakika zinasema wapelelezi wengi wamekuwa wakiingia nchini kupitia Karagwe mkoa wa Kagera, ambako kumeanza kuonekana kama sehemu ya Jamhuri ya Rwanda.

Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi ya Tanzania imethibitisha kukamatwa kwa makachero wanawaeke wanne raia wa Rwanda, wakijifanya ni makahaba, lakini baada ya uchunguzi imebainika pasi na shaka kwamba ni makachero toka Rwanda. Ukahaba unatumika kama moja ya nyezo adhimu katiak shughuli za ukachero.

Duru za uchunguzi zimebaini kuwa wanawake hao ni sehemu ya makachero waliotumwa kuichunguza Tanzania, kwa lengo la kulinda maslahi ya Rwanda. Waziri wa mambo ya ndani ya nchi, Mathias Chikawe, amethibitisha kukamatwa kwa wanawake hao, lakini amekataa kuingia ktika undani wa suala hilo.

Habari ipo kwa kirefu gazeti la Jamhuri.

Nina uhakika mission ishafanyika, na taarifa ishapelekwa kwa kagame zamani
kwa Hawa viongozi watu wanavyopenda Hiyo sehemu na ukizingatia wapi kwenye mavuno ya kodi zetu, Hamna siri iliyobaki tz iPo uchi mbele ya serikali ya kagame!
 
[h=3]MAKACHERO WA KAGAME WAKAMATWA DODOMA....!![/h]
kagame+px.jpg

Mashushushu wanawake wanne raia wa Rwanda wanaoaminika kutumwa na Rais Paul Kagame wamekamatwa mjini Dodoma. Wamekamatwa wakiwa wameshajenga uhusiano wa karibu na baadhi ya viongozi waandamizi pamoja na wajumbe wa Bunge la Katiba.

Pamoja nao Rwanda inadaiwa kuingiza makachero wengine wengi ili waungane na wakimbizi wa Kitutsi walioingia hapa nchini katika miaka ya 1958/1959 na mwaka 1994. Habari kutoka vyanzo vya uhakika zinasema wapelelezi wengi wamekuwa wakiingia nchini kupitia Karagwe mkoa wa Kagera, ambako kumeanza kuonekana kama sehemu ya Jamhuri ya Rwanda.

Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi ya Tanzania imethibitisha kukamatwa kwa makachero wanawaeke wanne raia wa Rwanda, wakijifanya ni makahaba, lakini baada ya uchunguzi imebainika pasi na shaka kwamba ni makachero toka Rwanda. Ukahaba unatumika kama moja ya nyezo adhimu katiak shughuli za ukachero.

Duru za uchunguzi zimebaini kuwa wanawake hao ni sehemu ya makachero waliotumwa kuichunguza Tanzania, kwa lengo la kulinda maslahi ya Rwanda. Waziri wa mambo ya ndani ya nchi, Mathias Chikawe, amethibitisha kukamatwa kwa wanawake hao, lakini amekataa kuingia ktika undani wa suala hilo.

Habari ipo kwa kirefu gazeti la Jamhuri.


 
Makechero wakakachero nini ktk nch iliyojaa uchuro km hi?au wamekuja kukachero katiba yetu?acheni hzo uchuro kw kagame.
wewe ndiye unayeiona uchuro, wapo wanaoipigia hesabu kila uchao, mkuu hujui hata thamani yako?? pole sana
 
Nina uhakika mission ishafanyika, na taarifa ishapelekwa kwa kagame zamani
kwa Hawa viongozi watu wanavyopenda Hiyo sehemu na ukizingatia wapi kwenye mavuno ya kodi zetu, Hamna siri iliyobaki tz iPo uchi mbele ya serikali ya kagame!

nakumbuka nilishawahi kugusia kuhusu swala la urembo wa mabinti wa kinyarwanda na hatari yao kwetu, urembo wao wanautumia kama silaha..na silaha hii niya maangamizi bila kutangaza vita
 
Mashushushu wanawake wanne raia wa Rwanda wanaoaminika kutumwa na Rais Paul Kagame wamekamatwa mjini Dodoma. Wamekamatwa wakiwa wameshajenga uhusiano wa karibu na baadhi ya viongozi waandamizi pamoja na wajumbe wa Bunge la Katiba.

Pamoja nao Rwanda inadaiwa kuingiza makachero wengine wengi ili waungane na wakimbizi wa Kitutsi walioingia hapa nchini katika miaka ya 1958/1959 na mwaka 1994. Habari kutoka vyanzo vya uhakika zinasema wapelelezi wengi wamekuwa wakiingia nchini kupitia Karagwe mkoa wa Kagera, ambako kumeanza kuonekana kama sehemu ya Jamhuri ya Rwanda.

Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi ya Tanzania imethibitisha kukamatwa kwa makachero wanawaeke wanne raia wa Rwanda, wakijifanya ni makahaba, lakini baada ya uchunguzi imebainika pasi na shaka kwamba ni makachero toka Rwanda. Ukahaba unatumika kama moja ya nyezo adhimu katiak shughuli za ukachero.

Duru za uchunguzi zimebaini kuwa wanawake hao ni sehemu ya makachero waliotumwa kuichunguza Tanzania, kwa lengo la kulinda maslahi ya Rwanda. Waziri wa mambo ya ndani ya nchi, Mathias Chikawe, amethibitisha kukamatwa kwa wanawake hao, lakini amekataa kuingia ktika undani wa suala hilo.

Habari ipo kwa kirefu gazeti la Jamhuri.

Upuuzi tu huu. Unaogopa kivuli chako. Makachero kama changudoa....hahahahahaha! Kweli wewe umefilisika kimawazo
 
Mashushushu wanawake wanne raia wa Rwanda wanaoaminika kutumwa na Rais Paul Kagame wamekamatwa mjini Dodoma. Wamekamatwa wakiwa wameshajenga uhusiano wa karibu na baadhi ya viongozi waandamizi pamoja na wajumbe wa Bunge la Katiba.

Pamoja nao Rwanda inadaiwa kuingiza makachero wengine wengi ili waungane na wakimbizi wa Kitutsi walioingia hapa nchini katika miaka ya 1958/1959 na mwaka 1994. Habari kutoka vyanzo vya uhakika zinasema wapelelezi wengi wamekuwa wakiingia nchini kupitia Karagwe mkoa wa Kagera, ambako kumeanza kuonekana kama sehemu ya Jamhuri ya Rwanda.

Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi ya Tanzania imethibitisha kukamatwa kwa makachero wanawaeke wanne raia wa Rwanda, wakijifanya ni makahaba, lakini baada ya uchunguzi imebainika pasi na shaka kwamba ni makachero toka Rwanda. Ukahaba unatumika kama moja ya nyezo adhimu katiak shughuli za ukachero.

Duru za uchunguzi zimebaini kuwa wanawake hao ni sehemu ya makachero waliotumwa kuichunguza Tanzania, kwa lengo la kulinda maslahi ya Rwanda. Waziri wa mambo ya ndani ya nchi, Mathias Chikawe, amethibitisha
kukamatwa kwa wanawake hao, lakini amekataa kuingia ktika undani wa suala hilo.

Habari ipo kwa kirefu gazeti la Jamhuri.


Acha upuuzi wewe, watu wanajadili mambo ya maana ya Tanzania wewe unatuletea mambo yenu watusi na wahutu, this is not our business at the moment. Mmeshindwa kutatua matatizo yenu wenyewe sasa kila kukicha unaposite heading za Rwanda propaganda. Wewe ni Mhutu uliyekimbia Mauji ya kimbali Rwanda. Rudi kwenu ukajibu kesi acha kujivisha gamba la utanzania kutafuta huruma. In short Tanzania haina ugomvi na watusi wala wahutu wenye ugomvi na watusi ni wahutu wenyewe. Acha kujificha Tanzania muuaji wewe, unasakwa na jinamizi lako mwenyewe. Issue ya Tanzania na Rwanda ni approach ya genocide cases and usalama katika nchi za maziwa makuu siyo Wahutu na Watusi...so what? Fool
 
Kama utafuatilia kwa undani zaidi, moja ya wakachero wanaotumika sana na Rwanda ni wanawake! Kuna wakati dada poa pale Kigari walikuwa wanapotea kiajabu ajabu ili kupisha soko hilo lichukuliwe na makachero wa kike! Kwa hiyo pamoja na kwamba mtazamo wa baadhi wa wachangiaji ni kupuuza kitu ambacho kimeletwa jamvini ila ni ukweli usiopingika kuwa jamaa zetu wanatumia sana technologia wa wakina dada kupata information!
 
suala la TISS ipo imara japo kuna changamoto za hapa na pale za kushughulikia.rwanda wasichezee tanzania yetu na uimara wa majeshi yetu
 
Back
Top Bottom