Rais Kagame wala hahitaji kuleta makachero kutoka Rwanda.
Makachero wa Kagame wako Tanzania kwa miaka mingi na wanaendelea kuishi na kuzaliana nchini kama "raia wema".
Makachero wa Rais Kagame kama alivyo Rais Kagame mwenyewe, mmewasomesha kwa pesa zenu katika shule mbali mbali nchini na nchi za nje na pia mnawalipa mishahara kwa kufanya kazi ya ukachero wa Kagame mpaka sasa pesa zenu.
Makachero wa Rais Kagame wengine ndiyo walinzi wa makabrasha ya siri za nchi na viongozi wake.
Kwa ujumla wake, Watulsi ni kama Wayahudi. Hata uwape nini hawawezi kuacha kupigania Utulsi wao kwa ujumla mpaka kifo.
Kauli mbiu yao, Utulsi kwanza, Taifa baadaye.