Makabila Ya Wafugaji ni Shida.

Makabila Ya Wafugaji ni Shida.

Hahaaaaa

Usinambie na wewe ni jamii hiyo!! Sio kosa lako kwakuwa hukujiumba ila kwa aina ile ya ustaarabu hapana aseeeee daaaah! Mishipa ya fahamu za walau kajiaibu ka kibinadamu ilishakata yoote
Ila kuna wafugaji wengine wako safi kabisa mzee mwenzangu, mfano ni Lowasa, ni kutoka ndani ya jamii hizo hizo za wafugaji, Au na yeye ananuka maziwa mzee mwenzangu
 
Enheeeee...sasa imagine watu wana debe zima la pepeta wanatafuna bila kukoma na makelele yao yakiendelea , nyingine zimetapakaa pembezoni mwa midomo hadi kichefuchefu, mbaya zaidi uwe umekaa jirani nao ndio utanyeshewa mvua ya mimate hadi utatamani mwavuli.

Ni jamii ya aina yake aseeeee
Pepeta ndio nini?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila kuna wafugaji wengine wako safi kabisa mzee mwenzangu, mfano ni Lowasa, ni kutoka ndani ya jamii hizo hizo za wafugaji, Au na yeye ananuka maziwa mzee mwenzangu
Sidhani kama ananuka yule na sio jambo jepesi
 
Mmasai akifika anaposhukia (mara nyingi ni mbugani porini hamna hata nyumba na sio kituo cha gari kusimama na wakati huo basi liko spidi zaidi ya 120) basi atamgonga kondakta rungu la kichwa huku anamwambia shusha!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂😂 yani umeelezea vzr mpk nikatengeneza image kbs ya tukio tajwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom