Jackline Bahath
JF-Expert Member
- Feb 14, 2016
- 681
- 627
ni kind of snack,ambayo inatengenezwa kwa mchanganyiko wa pepeta,karanga,dengu,pilipili masala,chumvi ,na mint leaves huwa vinauzwa kwny packets.Ni tamu sananaziskia tu ..ndo nn
ni kind of snack,ambayo inatengenezwa kwa mchanganyiko wa pepeta,karanga,dengu,pilipili masala,chumvi ,na mint leaves huwa vinauzwa kwny packets.Ni tamu sananaziskia tu ..ndo nn
ni kind of snack,ambayo inatengenezwa kwa mchanganyiko wa pepeta,karanga,dengu,pilipili masala,chumvi ,na mint leaves huwa vinauzwa kwny packets.Ni tamu sana
Ayaaaaa kwani unafikiri natania!! Hao watu waache tu kama walivyo aseeee ni jamii niite UNIQUE sanamkuu mbavu zangu tafadhali
nimecheka ad nmeliaMmasai akifika anaposhukia (mara nyingi ni mbugani porini hamna hata nyumba na sio kituo cha gari kusimama na wakati huo basi liko spidi zaidi ya 120) basi atamgonga kondakta rungu la kichwa huku anamwambia shusha!!!
Sent using Jamii Forums mobile app

inawezekana ulishawahi ziona lkn hukujua kama ndio Chauro,very deliciousduh..mengine yanipite tu
wacha wee..huendainawezekana ulishawahi ziona lkn hukujua kama ndio Chauro,very delicious
Kwakweli maana Mngh! unaweza ukatandika panjenti moja matata hadi ukashangaa "nguo" zimeungulia hahaaaduh..mengine yanipite tu
Na navowapenda wanawake wa kisukuma saaasa! weeeeee nitavumilia tumbalizi umewasema sana..hv ht upate msukuma m1 ww huez oa ?![]()
Na navowapenda wanawake wa kisukuma saaasa! weeeeee nitavumilia tu
Hahahaa
😂😂😂😂😂😂😂😂kwamba wasukuma wasafi😂😂wastaarabu..hujakutana nao ww..panda bas ht treni bas ukae nao
kwamba wasukuma wasafi
wastaarabu..hujakutana nao ww..panda bas ht treni bas ukae nao
hahahahaa nacheka hapa balaaa hahahahahhahaa...
Achen kutusingizia sisi wasukuma siyo wachafu bhana...dah..haya
HhahahahahahahahahahahaaaaHiyo safari ya lfakara ndio balaa, jamaa walipanda ndani ya bus na kitu inaitwa pepeta kama sijakosea- ni wanatafuna ile hadi unabaki unawashangaa na vijigalon vya maziwa ya mgando sasa wakianza kujamba woooiiiii!! Yaan hadi kizunguzungu kinakushika daah! Unaanza kuhisi labda kuna mtu kanya kabisa aiseee wale jamaa ni hapana
Si bora koka! Maziwa ya mgando tena yale yasiyochujwa maji, akicheua baada ya hapo aaah mbona utanenepa na roho yakonakufa jaman kwa kicjeko khaaa debe??
wanashushia na koka
Eti mimate😀😀😀Enheeeee...sasa imagine watu wana debe zima la pepeta wanatafuna bila kukoma na makelele yao yakiendelea , nyingine zimetapakaa pembezoni mwa midomo hadi kichefuchefu, mbaya zaidi uwe umekaa jirani nao ndio utanyeshewa mvua ya mimate hadi utatamani mwavuli.
Ni jamii ya aina yake aseeeee
Balaa nduguEti mimate😀😀😀