Ahaaa ahaaa...halafu kwenye kushuka hawanaga haraka kbsMmasai akifika anaposhukia (mara nyingi ni mbugani porini hamna hata nyumba na sio kituo cha gari kusimama na wakati huo basi liko spidi zaidi ya 120) basi atamgonga kondakta rungu la kichwa huku anamwambia shusha!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Si bora koka! Maziwa ya mgando tena yale yasiyochujwa maji, akicheua baada ya hapo aaah mbona utanenepa na roho yako