kichuri ni kichungu balaa, hicho kilinishinda kabisaaa, pia hawa jamaa wanapenda sana ugali wa udaga, kingine walichonishangaza ni tamaduni zaz kwenda kuoga ziwani familia nzima wanaenda kuoga, baba, mama na watoto wanavua nguo na kubaki uchi wa mnyama bila kujali kuwa yupo na watoto hata kama ni wa jinsia tofauti
Mbona umeegemea kwenye mavi tu? Ina maana huwa hakuna kingine kwenye kichuri mura? Basi hujui kichuri!
okay, nakumbuka siku hiyo tulienda pembezoni mwa ziwa maeneo ya makoko, tukakuta wanaogelea wengi wake kwa waume, ujio wetu waukuwashtua wala kuwazuia kuendelea kuogelea, nikamwuliza mwenyeji wetu hawa wanawake hawaoni aibu kuvua nguo mbele yetu na kubaki uchi, yule jamaa akaniambia pale iweje wanionee aibu mm wasiyenifahamu wakati wapo na watoto wao hawaoneani aibu?Hao ni wajita sisi hatuchangamani na wanawake wakati wa kuoga
Hawa labda wajita lkn wakurya baba na bintiye au mama na kijana wake wa kiume wana distance isiyo ya kawaida hata kula pamoja hawawezi sembuse kuoga pamojakichuri ni kichungu balaa, hicho kilinishinda kabisaaa, pia hawa jamaa wanapenda sana ugali wa udaga, kingine walichonishangaza ni tamaduni zaz kwenda kuoga ziwani familia nzima wanaenda kuoga, baba, mama na watoto wanavua nguo na kubaki uchi wa mnyama bila kujali kuwa yupo na watoto hata kama ni wa jinsia tofauti
Kama una ng'ombe tatu huchapwiUkikosea jiandae kutandikwa viboko vikali sana vya makalioni mbele ya wanakijiji au wakazi wa mtaa husika.
Eti kama hujanipiga hunipendi!
Huu Uchizi huu!
pia wakurya hawana tabia ya kujenga vyoo
Open school unakijua kichuri? Google hio ndio mboga yao maarufu sana.(jiandae kuila)
okay, nakumbuka siku hiyo tulienda pembezoni mwa ziwa maeneo ya makoko, tukakuta wanaogelea wengi wake kwa waume, ujio wetu waukuwashtua wala kuwazuia kuendelea kuogelea, nikamwuliza mwenyeji wetu hawa wanawake hawaoni aibu kuvua nguo mbele yetu na kubaki uchi, yule jamaa akaniambia pale iweje wanionee aibu mm wasiyenifahamu wakati wapo na watoto wao hawaoneani aibu?
Hii ni kweli kbs wanapenda kujisaidia vichakani kuliko chooni hasa nyakati za usikupia wakurya hawana tabia ya kujenga vyoo
Wanawake wanaoa wanawake wenzao.
Vipi wanaume, nao wanaoa wanaume wenzao?
Hawana mila ya namna hiiWanawake wanaoa wanawake wenzao.
Vipi wanaume, nao wanaoa wanaume wenzao?
Wanajua sana kujali ila wana gubu hao. Ukimuudhi hakuulizi kitu anakupotezea tu.Wanajali ila wana hasira uwiiii
acha jazba zisizokuwa na maana hapa tunaelimishana tu, sasa wewe hapo umeandika nn?Ulishaambiwa hakuna mkurya shoga.
Mwanamke huoa mwanamke meenzake pale anapokuwa hajazaa mtoto wa kiume au hajazaa kabisa.
Lengo ni kumzalia watoto aendeleze familia.
Huyo mwanamke anaeolewa anakuwa huru kuwa na mtu yeyote ila watoto watakao zaliwa ni mali ya muoaji.
mila ipo ila kwa namna ya tofauti, kuwa yule aliyeolewa anatafuta mpenzi yeyote tu anapewa ujauzito halafu mmiliki wa watoto anakuwa mama mwoajiHawana mila ya namna hii
acha jazba zisizokuwa na maana hapa tunaelimishana tu, sasa wewe hapo umeandika nn?