LOTH HEMA
JF-Expert Member
- Dec 6, 2015
- 13,287
- 18,013
Tanzania ina makabila zaidi ya 120 lakini yanayoonekana wazi ni mawili au matatu hadi manne tu ambayo yanaonekana wazi hawajaacha utambulisho wao, nao ni wamasai, wasukuma, wabarbeigi na wahazarbe. Hawa utawona wakiwa na mavazi yao hata wakienda mjini utawajua tu hawafichi utambuliko wao, wanaongea mpaka lugha yao hadharani bila aibu.
Makabila mengine huwezi kuwatambua utaishia kukisia tu ni kabila gani. Wengine utasikia lafudhi tu na kukisia ni kabila gani na utakosea. Makabila mengi yamevurugika na kuacha tamaduni zao za utambulisho ni waswahili watupu
Makabila mengine huwezi kuwatambua utaishia kukisia tu ni kabila gani. Wengine utasikia lafudhi tu na kukisia ni kabila gani na utakosea. Makabila mengi yamevurugika na kuacha tamaduni zao za utambulisho ni waswahili watupu