mgodi JF-Expert Member Joined Nov 5, 2010 Posts 2,780 Reaction score 1,851 Dec 18, 2012 #81 Mm nilisoma na mtoto mmoja wake anaitwa wacheni mkiwaona.
N Nkachapwe Member Joined Nov 11, 2012 Posts 6 Reaction score 0 Dec 19, 2012 #82 Hata kule kwetu kibaha kulikuwa na mzee mmoja amabaye alikuwa na watoto ambao ukuunganisha majina yao una pata kitu kifuatacho CHUKU YENU YANINI NIUENI SIAMI
Hata kule kwetu kibaha kulikuwa na mzee mmoja amabaye alikuwa na watoto ambao ukuunganisha majina yao una pata kitu kifuatacho CHUKU YENU YANINI NIUENI SIAMI
Salamander JF-Expert Member Joined Dec 7, 2012 Posts 28,536 Reaction score 15,751 Dec 20, 2012 #83 Ralphryder said: Kwa majina,wamakonde wanaongoza! Click to expand... Wamakonde utawaweza wapi,kulikuwa na mmoja anajiita Mwalim Juliachi
Ralphryder said: Kwa majina,wamakonde wanaongoza! Click to expand... Wamakonde utawaweza wapi,kulikuwa na mmoja anajiita Mwalim Juliachi