Majuto ya Chid Benz

Hongera sana mkuu , kwamba pombe hautimii kabisa bwashee?🤔
 
Yooh so una smoke, una meditate na ushawahi jaribu shroom?
Ungekua jamaa angu sana 😂
Yeah mimi nina meditate na hatua zote mpaka za astral projection nazifanya ila ukiona nalewa na nipo level hii ujue mimi ni nguli na ninajua namna ya kufanya bwashee 🤣
 
Maisha ni safari ndefu sana,sasa ukubwa unamuingia anaanza kuingiwa na hofu,maisha yasio na muelekeo,hatima yake,kifo n.k.,na ujuwe kadri unavyozidi kuzeeka ndivyo kilevi kinamchukua zaidi, kwahiyo mateso yanaongezeka.Aombe Mungu sana atamnusuru...
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…