Majuto: Sitatongoza mtandaoni tena

Majuto: Sitatongoza mtandaoni tena

Hahahaha, asee ndio maana humu huwa nachekaga tu
shangaa mkuu " jinsi watu wanavyo jinadi kuwa ni mambo safi humu then anatokea mdau anasema kuwa ameshawahi kukutana na bar maid ambaye ni mwanamke member wa Jf ' Aisee hiyo ni habari ya kustaajabisha sana
 
shangaa mkuu " jinsi watu wanavyo jinadi kuwa ni mambo safi humu then anatokea mdau anasema kuwa ameshawahi kukutana na bar maid ambaye ni mwanamke member wa Jf ' Aisee hiyo ni habari ya kustaajabisha sana
Hahahah hatari mzee baba
 
hahaa aisee bar maid tena !!? wapo humu humu "!!?, acha basii humu wanapatikana mademu wakali watoto wa osterbay " masaki " kijitonyama " mikocheni pekee tu
Osterbay ya wapi humu..hizi fake I'd zinaficha mengi sana.
 
Binafsi nina bahati ya kukutana na wanawake wazuri wenye mashepu na elimu nzuri. Wengi ni marafiki zangu. Wapo ambao ni kama mama zangu humu ambao tunafanya nao biashara za hapa na pale. Kukutana na mwanamke mbovu hutegmea na mwanaume pia. Vitu vizuri huwaendea wazuri.
Kwa hyo na wewe unajisifia kwamba ni mzuri?
Makondaaa ongeza jokajeusi kwenye list yako tafadhali
 
Huu uzi nilikua nishaanza kuupotezea ila naona tunashare experience na wana.
 
  • Thanks
Reactions: Gtt
Back
Top Bottom