Avator kama zenu ndio zinadanganya vijana kumbe uhalisia duuuh
Ungeeleza zaidi ilikuwaje
Ungeeleza zaidi ilikuwaje
Jikazeni jamani. Kwani mliambiwa watu wa humu ndio wako perfect?
Mashaallah, kila siku wanipa bashasha na shauku ya kuzidi kuisogeza ile siku spesheli!Hivyo vipo mpenzi
TooobaaaaaaaHahaha nikimtaja humu hapatakalika ni siri yangu mkuu maana ni yeye anajiona maarufu kuliko hata mwanzilishi wa JF
pm pleaseHahaha nikimtaja humu hapatakalika ni siri yangu mkuu maana ni yeye anajiona maarufu kuliko hata mwanzilishi wa JF
Ila wewe uko perfect bana
Tooobaaaaaaa![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
pm please
Mashaallah, kila siku wanipa bashasha na shauku ya kuzidi kuisogeza ile siku spesheli!
Hahahahaa.. shoga angu akikutajia nakuja na mie pm uniambie
ngoja nijibembeleze labda ntamegewa vipande vya ubuyuHuu mtandao tunatumia fake identity sasa ukileta ya huko nje hujui ni kutoka lengo la forum. Nikitaka kuweka hvo nitakuwa verified userSasa si uweke sura yako halisi ili watu wakujue ulivo kuliko kubabaisha na avator za uongo
Nataka vya bei juu mimihahaha,kwani kuna vya bure??? hata karanga zina bei yake... funguka
Bei juu zaidi ya balimiHahahaha, huwa vikoje vya bei
Nimekuelewa unachomanisha ila utata unaibuka pale ambapo mtu huyo ni mtu wa kuponda wanaume mara wako hivi, utasikia mara hapendi wafupi mara wa aina fulan au hadhi fulani kwahyo unapoenda kukutana nae unaenda kwa matarajio ya kukutana na bonge la mwanamke mwenye IQ kubwa kumbe daah acha niishie hapaAAA wapi mi naweka avator inayonivutia sio mtu mwingine mwenye matamanio yake kwanza Mimi humu had nikutane na mtu sijui iweje nimekutana na wachache na hawana utoto wa kuanzisha mada za hovyo we are normal friends. So avator ni minor issue mi cjali sura sina uwezo wakuumba hata kucha as long as we can be good friends no problem. Napenda roho ya MTU
Hahahaha, OK nimekusomaBei juu zaidi ya balimi
Hahahahaha kudadeki kuna mtu tayari kaumia hapa
Hahahaha, aseeNimekuelewa unachomanisha ila utata unaibuka pale ambapo mtu huyo ni mtu wa kuponda wanaume mara wako hivi, utasikia mara hapendi wafupi mara wa aina fulan au hadhi fulani kwahyo unapoenda kukutana nae unaenda kwa matarajio ya kukutana na bonge la mwanamke mwenye IQ kubwa kumbe daah acha niishie hapa