Majuto: Sitatongoza mtandaoni tena

Majuto: Sitatongoza mtandaoni tena

Baba Gluk pole na yaliokusibu baba, mimi nimekuelewa sana lakini usidhani uko peke yako kwenye maswahiba hayo kuna wengi yamewakumba hapa wanaugulia maumivu kimya kimya. Nawafahamu kadhaa waliwahi kuvuka hadi mikoa wengine wakipanda ma dream liner yale madege ya magufuli na mahasara kibao, wamefika wamekodi mahoteli ya gharama sana wanajiandaa kuua mtu, mtu mwenyewe anapojitokeza na kuona jinsi alivyo ni majuto makubwa....wapo. Wapo waliokwenda kupokea ugeni ubungo tena usiku mnene wakingatwa na mbu kusubiri vitamu na mwisho wakajutia sana kwa walichokiona.....wapo. Nakwambia wapo hapa. Usilie sana mkuu wapo wengi.
Aiseee!

Mimi nakuwa ndugu mtazamji tuu.
 
Mleta mada usilalamike, tambua kuwa hapa Jamii Forum Watu wanatumia Picha na Majina yasiyo halali kama ulidanganyika kwa picha au jina nakupa Pole sana. Jifunze na Ubadilike.
 
Wale wa Temeke sijui Tandale hamna kabiss
hahaa aisee bar maid tena !!? wapo humu humu "!!?, acha basii humu wanapatikana mademu wakali watoto wa osterbay " masaki " kijitonyama " mikocheni pekee tu
 
Madem weng humu ndani vibungo
Nafikiri watu wanapaswa kumfuatulia mtu huku jukwaani kabila ya kuomba namba na kupiga mtongozo.

Pamoja na watu kufake ID, kufake maisha, kuna kitu tuu lazima wanashindwaga kuficha...

Kama wewe ni mchunguri kuna tabia za mtu ukizijua utaweza kupatia ni mtu wa aina..

Ila ndio mpaka sasa ufuatulie hivyo;
 
Nafikiri watu wanapaswa kumfuatulia mtu huku jukwaani kabila ya kuomba namba na kupiga mtongozo.

Pamoja na watu kufake ID, kufake maisha, kuna kitu tuu lazima wanashindwaga kuficha...

Kama wewe ni mchunguri kuna tabia za mtu ukizijua utaweza kupatia ni mtu wa aina..

Ila ndio mpaka sasa ufuatulie hivyo;
Mzee baba mda wote kuanza kufwatilia mtu huku mtandaoni huo muda unautoa wapi?

Yapo mambo mengine mengi sana ya kufanya ..
 
Mzee baba mda wote kuanza kufwatilia mtu huku mtandaoni huo muda unautoa wapi?

Yapo mambo mengine mengi sana ya kufanya ..
Mwisho wa siku bora kupambana na kina mwajuma matako fresh wa mtaani kwako manake unaona anakulala na anakoamkia .
 
Back
Top Bottom