Nyoka mwenye makengeza
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 870
- 779
Hahahahaha kudadeki kuna mtu tayari kaumia hapa
Jamaa kaona dp mtoto mkali kwenda live kakutana na gubegube




Hahahahaha kudadeki kuna mtu tayari kaumia hapa




Alibakia kidogo ajifieJamaa kaona dp mtoto mkali kwenda live kakutana na gubegube![]()
Kabisa "..Hawajui kabisa JF ni nini
Kawaida yenu slay queens
Eh Mungu baba naomba umsamehe mtu huyu maana hajui alinenalo
Kumbe una makengeza
Ungevaa miwani ya jua ulipokutana nae
Kwani wew makengeza kweli au?Mimi sihitaji miwani ya jua najiamini na kujibali jinsi nilivoumbwa namtukuza Muumba wangu kwa kweli. Kwahyo kunguru akipiga kelele I don't care.
I love my makengeza
Cheichei![]()
![]()
![]()
Kwani wew makengeza kweli au?
Sura kma ilokanyagwa na trailer hhhhSio makengeza tu sioni na vimacho vya mchina na sura mbovu yani sina mbele wala nyuma mkuu. Una swali lingine?
.Sura kma ilokanyagwa na trailer hhhh![]()
![]()
.
Ntakosaje maswali kwako ukiniruhusu tu.
Mbona huitikii salama![]()
![]()
![]()
Unaweza kuitikia kma nilivyokusalimia.Siifahamu hyo salamu
Si ya chei cheiUnaweza kuitikia kma nilivyokusalimia.