MAJUKWAA zaidi ya 42 na watumiaji wake JF

MAJUKWAA zaidi ya 42 na watumiaji wake JF

Hahahaaaaa Kibo10,,kuna jukwaa inabidi Mods waliongeze,Jukwaa la Wenye ID zaidi ya moja na wenye jinsia mbili!Hapa utamkuta Evz,, GraceAliyejaaliwa n.k

Sasa watu kwa vihelele vyao utakuta wanamtaja na Bujibuji!Hahahaaaa,hata sijamtaja mimi!
sungura1980 watu wenye id zaidi ya mbili ni wengi sana mkuu kwaiyo kukiwa na jukwaa lao ni vema
Hili swala la Bujibuji Mmmm tuliache kwanza maana naye haeleweki ni mtu wa kubadilika badilika
 
Last edited by a moderator:
sungura1980 watu wenye id zaidi ya mbili ni wengi sana mkuu kwaiyo kukiwa na jukwaa lao ni vema
Hili swala la Bujibuji Mmmm tuliache kwanza maana naye haeleweki ni mtu wa kubadilika badilika
Hamna jamii isiyo kuwa na watu maarufu, hebu tafadhalini kubalini kuwa Bujibuji ni maarufu kwenye jamii yenu na mkae kimya.
 
Last edited by a moderator:
Hamna jamii isiyo kuwa na watu maarufu, hebu tafadhalini kubalini kuwa Bujibuji ni maarufu kwenye jamii yenu na mkae kimya.

Mimi nakubaliana na wewe Bujibuji kuwa wewe ni maarufu ila kukaa kimya aisaidii
Tupo hapa tuseme na tusikike mkuu tuungane kufanya hivyo na kamani ukimya uwe wa kheri sio wa walazima kiongozi!
 
Last edited by a moderator:
'jukwaa la dini na imani kahtaan'
 
Last edited by a moderator:
Hivi nduki jukwaa la dini linatumika kweli naona kama watu wanalipgopa kimtindo

'...naam,linatumika kiongozi tatizo linatumika kinyume na dini ni matusi tu mkuu na kinachosaidia ni hawajuani wangekuwa wanajuana wangeng'oana mpaka kucha mkuu hata kama wangekuwa na kuchangumu '
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom