MAJUKWAA zaidi ya 42 na watumiaji wake JF

MAJUKWAA zaidi ya 42 na watumiaji wake JF

Mkuu Mtamile wewe upo kwenye kundi la viherehere kama mimi kila mahali tupo
Mpaka kwenye kushauri watu afya zao

Kwi! kwi! kwi! Eti Vihere here!!! Mkuu JF ni zaidi ya Shule
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Kibo10 mimi mbona majukwa yote 42 Sichagui jukwaa mimi hebu ona hapa
Post Area Mtamile
Jukwaa la Siasa:762
Jokes/Utani + Udaku/Gossips:64
Celebrities Forum:62
KATIBA Mpya:58
Habari na Hoja mchanganyiko:56
Jamii Photos:50
Jukwaa la Elimu (Education Forum):38
Entertainment:21
Sports:16
Chaguzi Ndogo:15
Mambo ya Kikubwa:13

wewe kweli mbovu....
 
Last edited by a moderator:
Yaan mi kuna majukwaa hua siingii kabisaa nisharogwa na majukwaa ma5 tu cereblities forum,MMU.love connect. Habari na hoja mchanganyiko ,siasan kidogo mengine nawaachiaa wenye jamii yaooo

Hem pitia na kule jikoni. Ukiingia kule hutotaka tena kutoka
 
My hubby mshana jr ye Kila pahali yumo.

Mi naingiaga majukwaa mengi Ila mara nyingi huwa msomaji na.mtoaji like tu
 
Last edited by a moderator:
My hubby mshana jr ye Kila pahali yumo.

Mi naingiaga majukwaa mengi Ila mara nyingi huwa msomaji na.mtoaji like tu

Mumie kuna mahali unilifumania na kapost fulani hivi lahaulah kuangalia naona comm yako, yani nimekoma kusimulia kila kitu
 
Last edited by a moderator:
KIRANGA wapi mbona hujasema jukwaa alipo na anaanzishiwa mpaka thread
 
shem mara moja moja napitaga kule kwa mahusiano kama nina muda na ninataka kucheka. maana kule kama umeboreka ndo sehemu ya kwenda kupumzikia. lakini uwe makini story zingine ni hatare ni vizuri ukawa na pakujishikiza kinyume chake unaweza adhirika.

Mi shemeji yako kwa nanii??
 
Back
Top Bottom