Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,893
- 16,317
- Thread starter
- #81
Sawa ndugu yangu nitashukuru sana kakaUsisahau kunitag utakuwa unapata bando
Sawa ndugu yangu nitashukuru sana kakaUsisahau kunitag utakuwa unapata bando
Usijali nitajitahidi kukuongezea nguvuSawa ndugu yangu nitashukuru sana kaka
Thanks once againUsijali nitajitahidi kukuongezea nguvu
Asante sana. Bila shaka wamekuelewaAlafu ushauri tu kwa wanajamvini wenzangu mleta uzi anapokuwa kazini tafadhali msimuingilie subirini amalize uzi ndipo muanze kumuhoji hii hawana hii wanayo na kadhalika ona sasa uzi wote umesimama
Kijana wangu usipoteze muda kubishana na much know!!Asante sana. Bila shaka wamekuelewa
Ushauri mwanana sana kwa Infantry Soldier kwa maana JF kuna watu wa kila tabia mkuuKijana wangu usipoteze muda kubishana na much know!!
sawa mzee wangu. asante sana kwa ushauri wako.Kijana wangu usipoteze muda kubishana na much know!!
Huyu jamaa Soldier ameanza kuwa mjanja mjanjaKwa heshima na taadhima twakuomba uendelee mkuu
Huyu jamaa Soldier ameanza kuwa mjanja mjanja
Usipate tabu,naona Infantry Soldier na CEO Gazprom Neft mwandiko wao hua unafanana,so kama mtu mzima jiongezeKama bold?
HahahahaUsipate tabu,naona Infantry Soldier na CEO Gazprom Neft mwandiko wao hua unafanana,so kama mtu mzima jiongeze
Mkuu, siwezi kufanya utoto wa kuwa na IDs mbili humu JF kwa maana haina msaada wowote katika maisha yangu.Usipate tabu,naona Infantry Soldier na CEO Gazprom Neft mwandiko wao hua unafanana,so kama mtu mzima jiongeze
Sawa mkuu.Mkuu, siwezi kufanya utoto wa kuwa na IDs mbili humu JF kwa maana haina msaada wowote katika maisha yangu.
Mkuu, mng'ato umeonesha dharau kubwa sana kwa kunifananisha mimi na huyo kijana mdogo Infantry Soldier , Please niombe radhi aiseeUsipate tabu,naona Infantry Soldier na CEO Gazprom Neft mwandiko wao hua unafanana,so kama mtu mzima jiongeze
Daaah sawa mkuu,my apology.Mkuu, mng'ato umeonesha dharau kubwa sana kwa kunifananisha mimi na huyo kijana mdogo Infantry Soldier , Please niombe radhi aisee
Mkuu, mng'ato umeonesha dharau kubwa sana kwa kunifananisha mimi na huyo kijana mdogo Infantry Soldier , Please niombe radhi aisee
HahahahaDaaah sawa mkuu,my apology.