dah! R.I.P .......... cku nyingine asichepuke.
Hivi huko alikoenda kunaweza kuwa na michepuko etiee!!!
dah! R.I.P .......... cku nyingine asichepuke.
Baada ya fumanizi walirudi nyumbani salama lakini leo mchana Catherine kachukua bastola kwenye kabati ya chumbani na kamimina risasi tatu za kifuani na hyo ndo story kwa ufupi it pains much
Kwa bahat nzuri wabongo wengi hatumiliki chamoto,la cvyo tungekuwa tunasikia matukio daily maana dushe na papuchi zina2changanya balaaa
Catherine kwa nini cjui ameamua kumuua Ndlamin mungu wangu bado hata siamini, sasa ona umeipa hasara UNICEF AFRIKA na cjui kama atapatikana mtu muhim kama huyu bingwa wa magonjwa ya watoto basi tu acha nilie mimi
si ulisma jamaa alichepuka mbona tena unauliza kwanini amemuua au ndio confusion zenyewe
Pumzika kwa amani rafiki yangu Ndlamin Paul (RIP)
nimepata msiba wa rafiki yangu huyu ambaye nilipata kuishi nae Nchini Afrika Kusini kwa miaka miwili na mwaka 2010 nilipata kuhudhuria harusi yake nchini Botswana lkn mke wake ameamua kumuua kwa kumpiga risasi huku taarifa za awali zikisema kisa ni baada ya kumfumania rafiki yangu huyu
tangulia kaka iko siku nami nitakufuata, inaniuma sana basi tu .
Mkuu nawe ulikuwa mchepuko wake, pole sanaAsante sana lakin inauma sana hasa napokumbuka mambo mengi niliyokua napanga nae basi tu
dah! R.I.P .......... cku nyingine asichepuke.