Pumzika kwa amani rafiki yangu Ndlamin Paul (RIP)
nimepata msiba wa rafiki yangu huyu ambaye nilipata kuishi nae Nchini Afrika Kusini kwa miaka miwili na mwaka 2010 nilipata kuhudhuria harusi yake nchini Botswana lkn mke wake ameamua kumuua kwa kumpiga risasi huku taarifa za awali zikisema kisa ni baada ya kumfumania rafiki yangu huyu
tangulia kaka iko siku nami nitakufuata, inaniuma sana basi tu .
nimepata msiba wa rafiki yangu huyu ambaye nilipata kuishi nae Nchini Afrika Kusini kwa miaka miwili na mwaka 2010 nilipata kuhudhuria harusi yake nchini Botswana lkn mke wake ameamua kumuua kwa kumpiga risasi huku taarifa za awali zikisema kisa ni baada ya kumfumania rafiki yangu huyu
tangulia kaka iko siku nami nitakufuata, inaniuma sana basi tu .