Majonzi, Majonzi, Majonzi Nalia mimi jamani

Majonzi, Majonzi, Majonzi Nalia mimi jamani

mockers

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2013
Posts
12,853
Reaction score
35,588
Pumzika kwa amani rafiki yangu Ndlamin Paul (RIP)
nimepata msiba wa rafiki yangu huyu ambaye nilipata kuishi nae Nchini Afrika Kusini kwa miaka miwili na mwaka 2010 nilipata kuhudhuria harusi yake nchini Botswana lkn mke wake ameamua kumuua kwa kumpiga risasi huku taarifa za awali zikisema kisa ni baada ya kumfumania rafiki yangu huyu
tangulia kaka iko siku nami nitakufuata, inaniuma sana basi tu .
 
Kweli mapenzi yanaua leo nimeamin
 
Pole sana kwa kuondokewa na rafiki yako na iwe fundisho kwa wengine pia.
Hongera shemeji kwa maamuzi magumu uliyoyachukua na kumdedisha kipenzi chako.
 
dah! R.I.P .......... cku nyingine asichepuke.
 
Pole sana kwa kuondokewa na rafiki yako mpendwa

asante najipanga sasa kuhudhuria mazishi inaniuma sana coz alikua rafiki yangu mkubwa na ilikua afike kuniona mwezi wa sita
 
mhhh…hasira mbaya sana…pole kwa kufiliwa na rafiki yako!
 
asante najipanga sasa kuhudhuria mazishi inaniuma sana coz alikua rafiki yangu mkubwa na ilikua afike kuniona mwezi wa sita

Safari njema....mungu hakumuonea kullu nafsi zaikatul maut (kila nafsi itaonja mauti) usilalamike sana kazi ya mungu haina makosa na mola akikondoshea kitu amekupangia kengine kizuri na bora zaidi
 
Baada ya fumanizi walirudi nyumbani salama lakini leo mchana Catherine kachukua bastola kwenye kabati ya chumbani na kamimina risasi tatu za kifuani na hyo ndo story kwa ufupi it pains much



sema lolote tu we sema............

ila mke wa rafiki yako alimuua tu mumewe mchepuko yuko salama!!!!!!!
 
Daaaa hasira mbaya
Roho ya mauti itamtesa huyu mkewe

Pole sana
 
Pole sana,vigegedwa wengine bhana ahhhh
Pumzika kwa amani rafiki yangu Ndlamin Paul (RIP)
nimepata msiba wa rafiki yangu huyu ambaye nilipata kuishi nae Nchini Afrika Kusini kwa miaka miwili na mwaka 2010 nilipata kuhudhuria harusi yake nchini Botswana lkn mke wake ameamua kumuua kwa kumpiga risasi huku taarifa za awali zikisema kisa ni baada ya kumfumania rafiki yangu huyu
tangulia kaka iko siku nami nitakufuata, inaniuma sana basi tu .
 
Back
Top Bottom