KASHOROBANA
JF-Expert Member
- Jul 30, 2011
- 3,241
- 963
kalaghabao..... Ushamba uonimeona title nikajua majoka wanyama nikaingia nikichungulia kwa jicho moja maana naogopa hawa viumbe hata kwenye picha tu....kumbe ni utaratibu wa kucheza....hiyo inafaa kama huna kitambi na manyama uzembe