Pantomath
JF-Expert Member
- Jan 4, 2019
- 789
- 3,230
Ni mambo ya Ajabu kijana tunayeamini umeelimika bado mpaka leo unawaza pesa za majini.
Unawaza bila kwenda kwa mganga Bishara yako haitakaa,
Unaamini bila kutoa kafara hutapata pesa..
Unawaza bila kuwekewa zindiko hutodumu...
Ukiumuuliza ana ushahidi flani, atakuambia oo sijui tajiri flani ana majoka nyumbani kwake, mara anakambuzi kake kampiga show, mara Analala chini, Kila siku lazima azimie, Akilala anakufa kwanza anaoza, Kamuua Mama yake..
Mwingine Anakuambia yote haya ila hana ushahidi, Utasikia na yeye kaambiwa.
Yaani mambo mengi ya ajabu ajabu, Sasa hata kama ni kweli kwahio wewe unaona hizo njia ni sawa?
Huo utajiri una raha gani kwa mateso na mashrti hayo?
Na ukishaamini katika hilo, kila utakapokwama utaona kuna mkono wa mtu, utapoteza muda mwingi sana kutafuta waganga kumbe nao wanakulia pesa zako..
Jiulize, hivi katika maisha yako huna ushaidi wa ndugu/rafiki au jamaa aliyefanikiwa huku ukimuona aki hustle from the scratch?, kwa nini usiamini kwa wale waliofanikiwa zaidi basi ni hustle zaidi na bahati?
Unawaza bila kwenda kwa mganga Bishara yako haitakaa,
Unaamini bila kutoa kafara hutapata pesa..
Unawaza bila kuwekewa zindiko hutodumu...
Ukiumuuliza ana ushahidi flani, atakuambia oo sijui tajiri flani ana majoka nyumbani kwake, mara anakambuzi kake kampiga show, mara Analala chini, Kila siku lazima azimie, Akilala anakufa kwanza anaoza, Kamuua Mama yake..
Mwingine Anakuambia yote haya ila hana ushahidi, Utasikia na yeye kaambiwa.
Yaani mambo mengi ya ajabu ajabu, Sasa hata kama ni kweli kwahio wewe unaona hizo njia ni sawa?
Huo utajiri una raha gani kwa mateso na mashrti hayo?
Na ukishaamini katika hilo, kila utakapokwama utaona kuna mkono wa mtu, utapoteza muda mwingi sana kutafuta waganga kumbe nao wanakulia pesa zako..
Jiulize, hivi katika maisha yako huna ushaidi wa ndugu/rafiki au jamaa aliyefanikiwa huku ukimuona aki hustle from the scratch?, kwa nini usiamini kwa wale waliofanikiwa zaidi basi ni hustle zaidi na bahati?