Wacha hizo. Kumkosoa mtu ni zawa lakini usitumie redio ya mwenziyo tafuta yako. Kama angeenda kwenye Clubhouse ya madiaspora wa tindulissu wala asingesakamwa, badala yake angepewa airticket aende Cincinatti Ohio kuonana na International al democratic Union ya tundulissu.MAJIZZO Boss wa E-FM nadhani umemsikia Rais Samia kuhusu kuruhusu watu kumkosoa, sasa uamuzi wako wa kumchukulia hatua Gerald Hando kama itakupendeza utengue kama sehemu ya kuunga mkono uamuzi wa Rais wa kujikosoa na kukosoana.
Pia wape Uhuru wa kuchambua mambo ya nchi watangazaji wako akiwemo Maulid Baraka Kitenge ambaye naye kuna tetesi ulitaka kumla kichwa kwa kitendo cha kumhoji Waziri Mwigulu Nchemba kuhusu Deni la Taifa.