saidoo25
JF-Expert Member
- Jul 4, 2022
- 640
- 1,517
MAJIZZO Boss wa E-FM nadhani umemsikia Rais Samia kuhusu kuruhusu watu kumkosoa, sasa uamuzi wako wa kumchukulia hatua Gerald Hando kama itakupendeza utengue kama sehemu ya kuunga mkono uamuzi wa Rais wa kujikosoa na kukosoana.
Pia wape Uhuru wa kuchambua mambo ya nchi watangazaji wako akiwemo Maulid Baraka Kitenge ambaye naye kuna tetesi ulitaka kumla kichwa kwa kitendo cha kumhoji Waziri Mwigulu Nchemba kuhusu Deni la Taifa.
Pia wape Uhuru wa kuchambua mambo ya nchi watangazaji wako akiwemo Maulid Baraka Kitenge ambaye naye kuna tetesi ulitaka kumla kichwa kwa kitendo cha kumhoji Waziri Mwigulu Nchemba kuhusu Deni la Taifa.