Nadhani watu wengi katika muda fulani wa maisha yao wamekuwa na kiwango fulani cha udhaifu huu uliotajwa kwenye kichwa cha habari.
Je, umekutana na watu ambao umeona wana kiwango kikubwa cha tabia zinazoendana na kichwa cha habari?
Maofisini, mitaani etc. Iwe mabosi au watu wa kawaida?
Ni vizuri wajitahidi kupunguza mapungufu hayo.
Je, umekutana na watu ambao umeona wana kiwango kikubwa cha tabia zinazoendana na kichwa cha habari?
Maofisini, mitaani etc. Iwe mabosi au watu wa kawaida?
Ni vizuri wajitahidi kupunguza mapungufu hayo.