Surya
JF-Expert Member
- Jun 7, 2015
- 8,375
- 12,566
Yani nimesumbuliwa na kelele hadi usingizi umekata, kila nikivuta usingizi nashituliwa na kelele za watu, mara wasichana wengine walikuwa wanasukana kolidoni, aisee nyumba za kupanga ni kero.
Nilichofanya sijasemesha mtu, now wanapambana na Dundo la Nguvu la mziki, yaani lile la kutetemesha hadi dali, hadi playlist yangu ikwishe ndo nazima, watajua hawajua pumbavu zao.
Nilichofanya sijasemesha mtu, now wanapambana na Dundo la Nguvu la mziki, yaani lile la kutetemesha hadi dali, hadi playlist yangu ikwishe ndo nazima, watajua hawajua pumbavu zao.