Majina ya watoto ya kimasai

Majina ya watoto ya kimasai

Hahahahaha, Naishiye ni la kike. Lengisugi hawezi kupewa mpaka maana linasadifu mvuta Ugoro.

Laizer pia haifai kupewa, hilo ni jina la Ukoo. Kama yeye ni wa Ukoo wa Laizer maana yake atakuwa Laizer tu.

Kama yeye siyo, huwezi kumpa mtoto jina la Ukoo mwingine
mkuu na maana ya lekishon ni nini
 
Lomayani=Atakaebarikiwa.
Saitabau=Atafikisha

Loserian=Mtu wa Amani

Leng'ida=Mtu wa furaha
Lengarip=mtu Wa ukarimu

Lovoi=mtu wa kubembelezwa

Lomayani=mtu wa kubarikiwa

Loigwan=mtu aliyefunzwa
Loomoni=mtu anaeombwa

Lengume=mtu wa pua

Lengutuk=mtu wa mdomo

Lengai=mtu wa MUNGU

Olais=Malaika

OLmagilani=Anaeokoa

OLkima=Kima

Oloikuma =Kobe

OLmakofuli=Lesukuma

Olekoromije=Bashite

Kazi kwako
hahahhahaha mkuuu bafo sijapata kwenye list hapo ongeza
 
Lomayani=Atakaebarikiwa.
Saitabau=Atafikisha

Loserian=Mtu wa Amani

Leng'ida=Mtu wa furaha
Lengarip=mtu Wa ukarimu

Lovoi=mtu wa kubembelezwa

Lomayani=mtu wa kubarikiwa

Loigwan=mtu aliyefunzwa
Loomoni=mtu anaeombwa

Lengume=mtu wa pua

Lengutuk=mtu wa mdomo

Lengai=mtu wa MUNGU

Olais=Malaika

OLmagilani=Anaeokoa

OLkima=Kima

Oloikuma =Kobe

OLmakofuli=Lesukuma

Olekoromije=Bashite

Kazi kwako
Mkuu na LEKULE maana yake inakuwaje?
 
6ec4faf405e17a60b728396c5f0cf7b8.jpg
Ubarikiwe
 
Back
Top Bottom