Majina ya watoto ya kimasai

Majina ya watoto ya kimasai

Sidai tukulu!
Laiyon
Njeree
Loitoki
Nyan'gera
Subai
 
Jamani nilikuja na nyuzi hapa,,baba wa mtoto kakataaa majina ya kiswahili,,kasema anataka majina ya kimasai aiseee

So naombeni ya kimasai ya kiume
sasa baba mwenyewe si mmasaai si ampe mwanawe jina we vepee?
 
LeMaasai
Leyan
Mathias
Oning'oi
Alais
Ngolui
Saibulu
Lemuruti
Melubo
Laangarikok
Laishooki
Leyeyo
Papalai
Sembeta
 
Laizer
Naishiyee
Lengisuji
Sanare
Hahahahaha, Naishiye ni la kike. Lengisugi hawezi kupewa mpaka maana linasadifu mvuta Ugoro.

Laizer pia haifai kupewa, hilo ni jina la Ukoo. Kama yeye ni wa Ukoo wa Laizer maana yake atakuwa Laizer tu.

Kama yeye siyo, huwezi kumpa mtoto jina la Ukoo mwingine
 
Ole Daby.
Saitoti
Munge
Njolai
Ole mangi
Maura
Sane
Panin
Kibori( ) itapendeza
Molel
Saitakwet
Lomayani
Lemaasai
Wengi wanachanganya, OLE ni sawa na neno BIN ambalo limechukuliwa ktk lugha ya Kiarabu hivyo siyo jina. Mfan mimi Nkaitwa, Abdul Ole Sungita(Abdul Bin Sungita), John Ole Joseph Magufuli
 
Lomayani=Atakaebarikiwa.
Saitabau=Atafikisha

Loserian=Mtu wa Amani

Leng'ida=Mtu wa furaha
Lengarip=mtu Wa ukarimu

Lovoi=mtu wa kubembelezwa

Lomayani=mtu wa kubarikiwa

Loigwan=mtu aliyefunzwa
Loomoni=mtu anaeombwa

Lengume=mtu wa pua

Lengutuk=mtu wa mdomo

Lengai=mtu wa MUNGU

Olais=Malaika

OLmagilani=Anaeokoa

OLkima=Kima

Oloikuma =Kobe

OLmakofuli=Lesukuma

Olekoromije=Bashite

Kazi kwako
 
Lomayani=Atakaebarikiwa.
Saitabau=Atafikisha

Loserian=Mtu wa Amani

Leng'ida=Mtu wa furaha
Lengarip=mtu Wa ukarimu

Lovoi=mtu wa kubembelezwa

Lomayani=mtu wa kubarikiwa

Loigwan=mtu aliyefunzwa
Loomoni=mtu anaeombwa

Lengume=mtu wa pua

Lengutuk=mtu wa mdomo

Lengai=mtu wa MUNGU

Olais=Malaika

OLmagilani=Anaeokoa

OLkima=Kima

Oloikuma =Kobe

OLmakofuli=Lesukuma

Olekoromije=Bashite

Kazi kwako
Meing'ati- Ambae hataachwa.
 
Back
Top Bottom