tremendous
JF-Expert Member
- Aug 12, 2016
- 3,237
- 5,323
Duh haya majina magumu kutamkaOning'o
Lomayani
Loisujaki
Ngunene
Saning'o
Karduni
Meitinyiku

Duh haya majina magumu kutamkaOning'o
Lomayani
Loisujaki
Ngunene
Saning'o
Karduni
Meitinyiku

Duh haya majina magumu kutamkaOning'o
Lomayani
Loisujaki
Ngunene
Saning'o
Karduni
Meitinyiku

Kwahyo ina maana yule sane wa man city ni mmasaiOle Daby.
Saitoti
Munge
Njolai
Ole mangi
Maura
Sane
Panin
Kibori() itapendeza
Molel
Saitakwet
Yule maasai kabisa wa Engaruka.Kwahyo ina maana yule sane wa man city ni mmasai
sasa baba mwenyewe si mmasaai si ampe mwanawe jina we vepee?Jamani nilikuja na nyuzi hapa,,baba wa mtoto kakataaa majina ya kiswahili,,kasema anataka majina ya kimasai aiseee
So naombeni ya kimasai ya kiume
Hahahahaha, Naishiye ni la kike. Lengisugi hawezi kupewa mpaka maana linasadifu mvuta Ugoro.Laizer
Naishiyee
Lengisuji
Sanare
Hahaha!. Hili wanapewa watu wanaotokea huko Kenya, sehemu moja panaitwa Iloitokitoki.Loitoktok
Wengi wanachanganya, OLE ni sawa na neno BIN ambalo limechukuliwa ktk lugha ya Kiarabu hivyo siyo jina. Mfan mimi Nkaitwa, Abdul Ole Sungita(Abdul Bin Sungita), John Ole Joseph MagufuliOle Daby.
Saitoti
Munge
Njolai
Ole mangi
Maura
Sane
Panin
Kibori() itapendeza
Molel
Saitakwet
Lomayani
Lemaasai
atakuwa njombaako bhaaahYule maasai kabisa wa Engaruka.
Meing'ati- Ambae hataachwa.Lomayani=Atakaebarikiwa.
Saitabau=Atafikisha
Loserian=Mtu wa Amani
Leng'ida=Mtu wa furaha
Lengarip=mtu Wa ukarimu
Lovoi=mtu wa kubembelezwa
Lomayani=mtu wa kubarikiwa
Loigwan=mtu aliyefunzwa
Loomoni=mtu anaeombwa
Lengume=mtu wa pua
Lengutuk=mtu wa mdomo
Lengai=mtu wa MUNGU
Olais=Malaika
OLmagilani=Anaeokoa
OLkima=Kima
Oloikuma =Kobe
OLmakofuli=Lesukuma
Olekoromije=Bashite
Kazi kwako