Page 94
JF-Expert Member
- Oct 22, 2015
- 5,202
- 15,231
Naam, na ukiona mtu anaitwa OleFulani, maana yake hilo siyo jina lake. Bali ni mtoto wa Fulani.Wengi wanachanganya, OLE ni sawa na neno BIN ambalo limechukuliwa ktk lugha ya Kiarabu hivyo siyo jina. Mfan mimi Nkaitwa, Abdul Ole Sungita(Abdul Bin Sungita), John Ole Joseph Magufuli